Dar: Grace Mushi ambaye alimchomea ndani Mpenzi wake, akamatwa na Polisi

ILIKUWAJE? HEBU TUPE KISA KIDOGO
 
Status iliyobeba ujumbe wa kutisha
 

Wallahi bora nichomwe moto na mwanamke chuchu chuchu kweli Konzi kama zote sio kama hilo bata utopolo likifua hovyo kabisa. Hata kwa mpalange bata kama hilo utamu utakuwa wa matopolo tupu.

Daah sijui tunakwama wapi. Bila chuchu konzi hio ni scrapper, tupa huko wacha wengine wapimishe.
 
Huyu aliona gunia 2 za mkaa hazitoshi akaenda mbali zaidi
 

Mwanamke akilipa kisasi dunia na watu wake huwa vinasimama kwanza kusikilizia uzito wa hilo tukio. Mwanamke majeruhi ni sawa na mbogo aliyechaji
 
Wanawake wa kichaga ukiamua kumuoa mmoja wao nawe si mchaga unahitaji kujipanga. Wanapenda kutafuta Mali, akiona huwezi kutafuta mnaweza achana, na Kama mnatafuta mkiwa vizuri, anaweza kukutafutia Visa ili mgawane au kukuua kabisa.
Nimeshuhudia hili, jamaa yangu yamemkuta, mwanamke alitafuta visa waachane ikashindikana, akaanza kutembea na bodaboda, rafiki yangu akainua mikono
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…