LGE2024 Dar: Hatimaye majina ya wapiga kura Sinza B yabandikwa, sababu ya kuchelewa bado haijajulikana

LGE2024 Dar: Hatimaye majina ya wapiga kura Sinza B yabandikwa, sababu ya kuchelewa bado haijajulikana

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Wakuu,



Habari zilizotufikia hivi punde ni kuwa baada ya Wananchi wa Mtaa Sinza B, Wilaya ya Ubungo Dar Es Salaam kulalamika kadhia wanayoipata kwa kutokubandikwa kwa majina yao nje ya kituo cha kupiga kura cha Shule ya Sekondari Mashujaa tayari wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi wameanza kubandika majina ya wapiga kura.

Kupata taarifa na matukio ya kimkoa kuhusu Uchaguzi Serikali za Mitaa ingia hapa: LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Jambo TV imefanya jitihada za kutaka kufahamu chanzo kilichosababisha kutokubandikwa kwa majina hayo hata hivyo jitihada hazikuzaa matunda.
 
Habari zilizotufikia hivi punde ni kuwa baada ya Wananchi wa Mtaa Sinza B, Wilaya ya Ubungo Dar Es Salaam kulalamika kadhia wanayoipata kwa kutokubandikwa kwa majina yao nje ya kituo cha kupiga kura cha Shule ya Sekondari Mashujaa tayari wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi wameanza kubandika majina ya wapiga kura.Jambo TV imefanya jitihada za kutaka kufahamu chanzo kilichosababisha kutokubandikwa kwa majina hayo hata hivyo jitihada hazikuzaa matunda.
 
Huu uchaguzi hauna tofauti na ule wa mwenda zake...Tume huru ya uchaguzi ni kama takataka tu hakuna inachofanya
 
Back
Top Bottom