Ni wakati wa kipato kwa taifa lipeni huduma nchi ipate pesa ifanye maendeleo,CCM Mpya = Woga2 + Hofu2 bado imebaki TANROAD ya Mfungale nao watatoa angalizo la matumizi ya Barabara!
Wamezuia matumizi ya anga TCAA , wamezuia kurusha live matangazo mpaka taarifa itolewe TCRA, NEC TUME , OFISI ZA DED , OFISI ZA MA-DC kote wametapakaa makada wateule toka CCM Mpya bado hawajiamini hawa watu wa mtaa wa Lumumba.
Ongezeni Niki lakini hamtafanikiwa,Wanacho fanya ni kuzidi kuongeza hamu ya wananchi kutaka kuwasikia CHADEMA! Wapiga debe wa CHADEMA ni watendaji wa serikali.
CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO (CHADEMA)
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI NA UMMA
Ratiba ya mikutano 5 Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Mhe. Tundu Lissu, iliyopangwa kufanyika leo mkoani Pwani, imevurugika baada ya helkopta aliyokuwa aitumie kufika katika maeneo hayo, kuzuiliwa kwa kunyimwa kibali na Mamlaka ya Anga nchini, muda mfupi kabla ya kuruka.
Taarifa za kukataliwa kwa helkopta hiyo kuruka zilitolewa kwa Ofisa Mnadhimu wa Kampeni, Amani Golugwa, wakati msafara wa Mhe. Lissu ukielekea kupanda ndege baada ya kumaliza taratibu zote za ukaguzi wa kiusalama Uwanja wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) terminal I.
Ofisa wa Mamlaka ya Anga aliyewasilisha taarifa hiyo wakati msafara wa Mhe. Lissu umeshatoka nje ya jengo la abiria, ametoa sababu zisizoeleweka kuzuia helkopta hiyo kuruka kutoka Uwanja wa JNIA kuelekea Bagamoyo, Chalinze, Mlandizi na Kibaha, wakati kibali chake kiliombwa tangu jana.
Kutokana na hatua hiyo, Chadema imelazimika kutafuta njia mbadala ili Mgombea Urais Mhe. Lissu na msafara wake, aweze kuendelea na ratiba ya mikutano kwa kadri inavyowezekana. Mbali ya Mhe. Lissu, abiria wengine waliokuwa watumie usafiri huo ni watu 3, akiwemo Ofisa Mnadhimu wa Msafara Amani Golugwa, Katibu wa Mgombea, David Jumbe, msaidizi wa masuala ya ulinzi pamoja na rubani wa ndege hiyo.
Imetolewa leo, Alhamis, Septemba 10, 2020 na;
Tumaini Makene
Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano
Jinga sn wew unavuta bhangi we limamaMmeshaanza kutafuta vijisababu.
kumbe tunatakiwa na sisi tuanze kuwateka eh?Na nyie mmezidi kuwa ma keyboard warriors hadi msisimuko wa pepsi unapotea
Watazuiwaje bila sababu , taarifa ya chadema ni ya upande mmoja, ninachoamini ziko sababu walizopewa ambazo chadema hawakuziweka kwenye press release yao.Kwahiyo hawakuzuiwa? Sometimes msiwe wapuuzi kupita kiasi
MbovuCHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO (CHADEMA)
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI NA UMMA
Ratiba ya mikutano 5 Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Mhe. Tundu Lissu, iliyopangwa kufanyika leo mkoani Pwani, imevurugika baada ya helkopta aliyokuwa aitumie kufika katika maeneo hayo, kuzuiliwa kwa kunyimwa kibali na Mamlaka ya Anga nchini, muda mfupi kabla ya kuruka.
Taarifa za kukataliwa kwa helkopta hiyo kuruka zilitolewa kwa Ofisa Mnadhimu wa Kampeni, Amani Golugwa, wakati msafara wa Mhe. Lissu ukielekea kupanda ndege baada ya kumaliza taratibu zote za ukaguzi wa kiusalama Uwanja wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) terminal I.
Ofisa wa Mamlaka ya Anga aliyewasilisha taarifa hiyo wakati msafara wa Mhe. Lissu umeshatoka nje ya jengo la abiria, ametoa sababu zisizoeleweka kuzuia helkopta hiyo kuruka kutoka Uwanja wa JNIA kuelekea Bagamoyo, Chalinze, Mlandizi na Kibaha, wakati kibali chake kiliombwa tangu jana.
Kutokana na hatua hiyo, Chadema imelazimika kutafuta njia mbadala ili Mgombea Urais Mhe. Lissu na msafara wake, aweze kuendelea na ratiba ya mikutano kwa kadri inavyowezekana. Mbali ya Mhe. Lissu, abiria wengine waliokuwa watumie usafiri huo ni watu 3, akiwemo Ofisa Mnadhimu wa Msafara Amani Golugwa, Katibu wa Mgombea, David Jumbe, msaidizi wa masuala ya ulinzi pamoja na rubani wa ndege hiyo.
Imetolewa leo, Alhamis, Septemba 10, 2020 na;
Tumaini Makene
Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano
Ni siasa tuWatazuiwaje bila sababu , taarifa ya chadema ni ya upande mmoja, ninachoamini ziko sababu walizopewa ambazo chadema hawakuziweka kwenye press release yao.
Ficha Upumbavu wakoMaCCM yamezidi kuwa maoga sana hadi inatia kinyaa
Hao kuna kitu wanakifichaImesaidia kupunguza aibu kwani hakukuwa na watu kabisa Bagamoyo.Ilikuwa iwe aibu ya mwaka
Poleni sana.. Unaonaje ukaziweka sababu hizo unazosema hazieleweki ili tuzijue huenda zikawa zinaeleweka ila wewe ndio hujazielewa, hapa kuna wadau wabobezi wa hizo mambo wanaweza kuchanganua ili mjipange vizuri baadae ktk harakati zenu.. Alaf punguza malalamiko kua tayari kujifunza kila cku.CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO (CHADEMA)
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI NA UMMA
Ratiba ya mikutano 5 Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Mhe. Tundu Lissu, iliyopangwa kufanyika leo mkoani Pwani, imevurugika baada ya helkopta aliyokuwa aitumie kufika katika maeneo hayo, kuzuiliwa kwa kunyimwa kibali na Mamlaka ya Anga nchini, muda mfupi kabla ya kuruka.
Taarifa za kukataliwa kwa helkopta hiyo kuruka zilitolewa kwa Ofisa Mnadhimu wa Kampeni, Amani Golugwa, wakati msafara wa Mhe. Lissu ukielekea kupanda ndege baada ya kumaliza taratibu zote za ukaguzi wa kiusalama Uwanja wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) terminal I.
Ofisa wa Mamlaka ya Anga aliyewasilisha taarifa hiyo wakati msafara wa Mhe. Lissu umeshatoka nje ya jengo la abiria, ametoa sababu zisizoeleweka kuzuia helkopta hiyo kuruka kutoka Uwanja wa JNIA kuelekea Bagamoyo, Chalinze, Mlandizi na Kibaha, wakati kibali chake kiliombwa tangu jana.
Kutokana na hatua hiyo, Chadema imelazimika kutafuta njia mbadala ili Mgombea Urais Mhe. Lissu na msafara wake, aweze kuendelea na ratiba ya mikutano kwa kadri inavyowezekana. Mbali ya Mhe. Lissu, abiria wengine waliokuwa watumie usafiri huo ni watu 3, akiwemo Ofisa Mnadhimu wa Msafara Amani Golugwa, Katibu wa Mgombea, David Jumbe, msaidizi wa masuala ya ulinzi pamoja na rubani wa ndege hiyo.
Imetolewa leo, Alhamis, Septemba 10, 2020 na;
Tumaini Makene
Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano
Hiyo pia ni plan mzee..Chadema hawakosagi sababu 😀😀.
Hapo tayari wameshaangushia jumba bovu kwa TCAA.
Mnawezaje kupanga safari, mkaenda hadi Airport, mkakaguliwa huku mkiwa hamjapewa permit ya kutumia hicho chombo? Ina maana hamkufanya maombi mapema ili kuwa na uhakika na safari zenu? Kwa nini kila kitu mnafanya at last minute? No planning
kwa uoga huu wewe utakuwa hadi unatiwa vidole vya macho na mkewe.Ficha Upumbavu wako
Atumie Gari
Maana sianasema Ndege inafanyiwa figisu
Aje apate lakupata atafute sababu