Dar: Inasemekana tukio hili la utekaji limetokea Kiluvya, kutokana na uzito wa jamaa walishindwa kumchukua. Hakuna aliyetoka kumsaidia

Pascal Mayalla mkuu, hakika toka kipindi cha marehemu mpaka sasa mnachakujivunia kama chama....

Utekaji wa sasa ni kama uwindaji wa wanyamapori huko porini
 
Watanzania sio binadamu ni mifano ya binadamu
 
Huyo si mwanafunzi mkuu na uniform amevaa?😀
 
Watu hawana msaada kabisaa aiseee
 
Dah!... inasikitisha sana..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…