Mvinyo mpya
JF-Expert Member
- Aug 24, 2013
- 1,052
- 2,866
Ni kama anajazwa uongo, ona issue ya mzee Ally ndo imeisha hivyo! Hakuna cha ripoti ya uchunguzi wala aliyekamatwa!Jana nilipitia Youtube kwenye mahubiri ya nabii Fulani aisee comments zinaumiza sana.
Zaisi ya comment 100 zote zinamlalamilia Mama kwanini ameruhusu haya yanaendelea.
Tumia akili wewe zuzu unajua kuna kupoteza ushahidi ...huyo mpiga picha awakumjua kuwa anawapiga picha kwa hiyo angefanya choko choko yoyote wangeweza kungamua na kumfuatilia hapo hapoWanaume wa Dar Wana ulakini mkubwa sana
Mchukua video alikuwa ka base kwenye tukio!
Kwanini asingepiga kelele huyu anaye rekodi kuomba msaada ?
KweliIdentity ya Mtekwaji bado haijafahamika?
Sawa mimi ni zuzu. Kwahiyo ni Bora akauliwe badae USHAHIDI uonekane ulikuwepo halafu kitakachofata ni Nini ndg mwerevu?Tumia akili wewe zuzu unajua kuna kupoteza ushahidi ...huyo mpiga picha awakumjua kuwa anawapiga picha kwa hiyo angefanya choko choko yoyote wangeweza kungamua na kumfuatilia hapo hapo
Inasikitisha sanaYani taratibu tunakuwa kama southafrica, uhalifu unafanywa mchana kweupe watu wanaangalia tu
Tumefikia huku!!!, inatisha sana.Wakuu,
Nimekutana na video hii duniani huko, pamoja na kujaribu kupiga kelele watu waliuchuna. Angalu video hii imepatikana, kama ni tukio la kweli wasiyojulikana wataanza kujulikana.
=====
Kumbusho Dawson kaandika haya kupitia ukurasa wake akisindikiza video hiyo;
"Tukio hili la utekaji limetokea jana Rovvenpec Resort, Kiluvya madukani, kutokana na nguvu za mwamba aliwashinda watekaji.
"Inasikitisha Sana kwamba hakuna pamoja Na kwamba kulikuwa na watu wanashuhudia hakuna mtu aliejitokeza kutoa msaada inasikitisha.
Pia soma: Kupambana na watu wasiojulikana: Ukija kukamatwa na polisi bila uniform na hajaambatana na kiongozi wa eneo husika piga firimbi, kusanya nzi
"Mstari unaotofautisha akili za nyumbu na Watanzania ni ndogo kama punje ya haradali. Mtu anakamatwa watu wanashangàa kama kundi la nyumbu porini. Shame be upon you."
Kupata matukio ya nyuma kuhusu watu wasiyojulikana ingia hapa: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana
Ni suala la muda. Unachokifikiria kitafanyika! Unyumbu utaisha baada ya kujua adui yako ni adui wa wote!Alafu mnajidanganya Chadema itashika dola, kwa level hii ya unyumbu tusahau tu.. Mtu anapiga na kelele kabisa watu wamejificha, aisee inasikitisha!!
Kama ni nyeusi mbona hawajaja kwa kiongozi wa mtaa, wakafuata utaratibu wa kuvaa uniform, kwanini wateke??Hatari sana hii
Ttz unaweza kuta mtu mnamuona kitaa ila mishe anazo fanya nyeusi ndio maana watu hawataki kuweka dhamana
Kesho keshokutwa hao hao wamama walioshika viuno mmoja wao atashikwa uchungu kujifungua, halafu watakwenda mgongea mwanaume mwenye bajaji awakimbize hosp. Pumbavu zao. Hata kupiga nduru hakuna?? Wanaume don't buy them drinks mkiwa viwanja ni wadangaji tu hao. Nothing can do to help you when you're in trouble. Piga nyama na ugali wako piga kinywaji chako jenga mwili wako.Mungu Kampa Mwili Wake Mkubwa Kama Kinga Ya Kuuliwa Na Wapumbavu kama hawa na Bado Watanzania Tunawacheki tu
Nchi gani hii
Na Ajabu Utasikia Kimyaa Hawajulikan
Na Kunakauli ya mwisho hapo Tutakupata/ Tutakufuata
Mbwa hawa Tunaomba Majina yao Yasambae tujue hawa ndio Wauwaji
Huwa mnatekaje?Watekaji hawateki hivi
Tumia akili wewe zuzu hakuna kitu kina wachukiza wahalifu kama ushahidi ....wangejua huyo jamaa anawachukua picha lazima wangeongeza nguvu zao zote kuakikisha wanammaliza na huyoSawa mimi ni zuzu. Kwahiyo ni Bora akauliwe badae USHAHIDI uonekane ulikuwepo halafu kitakachofata ni Nini ndg mwerevu?
Kwa Mzee kibao si kulikuwa na abiria kibao kwenye gari USHAHIDI wao umesaidiaje ndg mwerevu na wote walisema gari ilikuwa ya police?