M24 Headquarters-Kigali
JF-Expert Member
- Jul 9, 2012
- 8,199
- 8,186
Return 523 USDOne way?
Haya ma-dege yaliyopigwa marufuku kuruka anga za Ulaya?Destination Ile Ile (3-4hours) ila tofauti NI 200USD anyway kupanga mi kuchagua!! Hope ndege yetu inajaa
Malawi anakupeleka Kamuzu kwanza, wakati Atcl Direct... any way kupanga. ni kuchagua.Destination Ile Ile (3-4hours) ila tofauti NI 200USD anyway kupanga mi kuchagua!! Hope ndege yetu inajaa
Tangu lini serikali ya Tanganyika iweze competitive business, we angalia tu Udart kila kitu wanacho ila biashara inasuasua mpaka leo.Destination Ile Ile (3-4hours) ila tofauti NI 200USD anyway kupanga ni kuchagua!! Nionavyo ni kama tunamfanyia Promo Malawian airlines bila kujua. Hope ndege yetu inajaa!
Nyingi ni around hii pesa nikibadilisha kwa tsh. Rwandan pia wanacharge karibia hapoReturn 523 USD
Direct ndo izidi 200 USD? Connection/layover ya Chileka Int'l airport (Blantyre) haizidi 45mins!Malawi anakupeleka Kamuzu kwanza, wakati Atcl Direct... any way kupanga. ni kuchagua.
Malawian 323 USD kusafiri early JanuaryNyingi ni around hii pesa nikibadilisha kwa tsh. Rwandan pia wanacharge karibia hapo
Utasafiri kutoka Dar kwenda Malawi kupanda ndege ya Joburg!Malawian 323 USD kusafiri early January
Naona unajitahidi kufufua uzi wako. Wasafiri wa kweli hawapendi hio connection. Direct flight ni option ya kwanza kwa msafiri serious. I'd rather pay extra than having extra take offs and landings.Tuna watu hawafikirii biashara
Unapo enda nchi yoyote zamani kulikuwa na return ticketReturn 523 USD