Nipo Tegeta...
Kila muda kiu...
Kila baada ya lisaa naoga mpaka nishaanza kukonda....
Ndani hapakaliki, feni zinapuliza lakini hamna kitu....nani kwao ako na AC nikaribie mie usiku wa leo
Felister kumbe upo karibu tu hapo[emoji2][emoji2]Nipo Tegeta...
Kila muda kiu...
Kila baada ya lisaa naoga mpaka nishaanza kukonda....
Ndani hapakaliki, feni zinapuliza lakini hamna kitu....nani kwao ako na AC nikaribie mie usiku wa leo
watu kujifanya Dr ππJua kali linapunguza nguvu za kiume, waulizeni waarabu huko bara Asia watawaambia..so ndugu zetu mnaoishi dar mjiandae maana kende zinahitaj hali flani ya ubaridi ili zizalishe mbegu bora na zenye nguvu..njia mbadala jioni mnapopumzika chukueni visado lowekeni pu*bu zenu kwa heshma ya ndoa..kwa waliooa.
Karibu kunduchiNipo Tegeta...
Kila muda kiu...
Kila baada ya lisaa naoga mpaka nishaanza kukonda....
Ndani hapakaliki, feni zinapuliza lakini hamna kitu....nani kwao ako na AC nikaribie mie usiku wa leo
Huo ni ushauri tu unaweza kuufuata ama ukaupotezea maana sio lazima kufuata kila tunachokiona mtandaoni..na ndio maana kule pemba watu wanakula urojo na huku bara tunahangaika na dona.watu kujifanya Dr ππ
Njoo ofisini kuna A/C πNipo Tegeta...
Kila muda kiu...
Kila baada ya lisaa naoga mpaka nishaanza kukonda....
Ndani hapakaliki, feni zinapuliza lakini hamna kitu....nani kwao ako na AC nikaribie mie usiku wa leo
Kisiwa gani mkuu si unajua hata ukerewe ni kisiwa?!
Mkuu una bahati maana mimi nina miaka sijaokota pesa yoyote yaani hata hamsini mbovu [emoji23]Jua ni fursa mpaka sasa nimeokota 200/= saba.View attachment 1290785
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakuja Mamy
Haha karibuFelister kumbe upo karibu tu hapo[emoji2][emoji2]
Nitakuja jion BA's mama