Dar joto ni kali sana, tujuze hapa ulipo

Nipo Tegeta...
Kila muda kiu...
Kila baada ya lisaa naoga mpaka nishaanza kukonda....
Ndani hapakaliki, feni zinapuliza lakini hamna kitu....nani kwao ako na AC nikaribie mie usiku wa leo
 
Jua kali linapunguza nguvu za kiume, waulizeni waarabu huko bara Asia watawaambia..so ndugu zetu mnaoishi dar mjiandae maana kende zinahitaj hali flani ya ubaridi ili zizalishe mbegu bora na zenye nguvu..njia mbadala jioni mnapopumzika chukueni visado lowekeni pu*bu zenu kwa heshma ya ndoa..kwa waliooa.
 
Nipo Tegeta...
Kila muda kiu...
Kila baada ya lisaa naoga mpaka nishaanza kukonda....
Ndani hapakaliki, feni zinapuliza lakini hamna kitu....nani kwao ako na AC nikaribie mie usiku wa leo
Felister kumbe upo karibu tu hapo[emoji2][emoji2]
Nitakuja jion BA's mama
 
watu kujifanya Dr 😊😊
 
Nipo Tegeta...
Kila muda kiu...
Kila baada ya lisaa naoga mpaka nishaanza kukonda....
Ndani hapakaliki, feni zinapuliza lakini hamna kitu....nani kwao ako na AC nikaribie mie usiku wa leo
Njoo ofisini kuna A/C πŸ˜‰
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…