The only
JF-Expert Member
- May 19, 2011
- 10,805
- 14,181
Marekebisho kichwa cha habari
Dar kila mtanashati ni shoga ,ukipata hela unauza unga
Sikatai zama hizi haya mambo sijui kama yameongezeka ila nadhani teknologia imekuwa sana kiasi cha kuwa rahisi kuwamulika wazee wa ngada na mashoga .
Tatizo nimenotisi yaani kila kijana mtanashati huwa ni shoga ingia mitandaoni anzia diamond,Jux,ommy dimpoz,christian bella ,.......hawa ni wale maarufu huku mtaani ukaonekana perfume kila saa kiatu kinangáa yaani haraka sana vijiweni ni shoga .
Kuna kipindi nilihamia ule mtaa wa kanisa la mzee pinda kinondoni ,nilikuwa nimeajiriwa kwenye law firm moja mjini kati kwa kuwa mwezi wa mwanzo sikuwa na gari kwani nililiacha mkoan nikawa kila nikija mtaani nagari tofauti ,kidogo mimi siko social kiivyo nkawa sina time sana na maisha ya mtaani nkikaa baa nakaa mwenyewe napiga kilaji huyoo home ,weekend nashinda ndani na jamaa zangu wasio wa mtaani nkitoka ni moja kwa moja job .
Sasa akanitembelea mdogo wangu ambae yeye mwenzangu yuko very social week tu washamjua watu wote tena hadi anakopa madukani wakati mimi nkimaliza salamu sina la kuongeza ,basi kuukaa nao ndo akaniambia vijana wanaomba awaconnect na mimi niwafanye container kupeleka unga nje ya nchi ,mara nina urafiki sana na mbunge flani ambae ndo mzee wa poda ,mimi hata kuwahi kumuona sijawahi ,mara sijui huwa naleta marafiki zangu wanakuja kuchukua mzigo kwangu na stori zilikuwa detailed sana ,nikahisi utani akanionesha na meseji zote .
Baada ya wiki polisi wakaja kwangu wakakagua kinyama .
Dar kila mtanashati ni shoga ,ukipata hela unauza unga
Sikatai zama hizi haya mambo sijui kama yameongezeka ila nadhani teknologia imekuwa sana kiasi cha kuwa rahisi kuwamulika wazee wa ngada na mashoga .
Tatizo nimenotisi yaani kila kijana mtanashati huwa ni shoga ingia mitandaoni anzia diamond,Jux,ommy dimpoz,christian bella ,.......hawa ni wale maarufu huku mtaani ukaonekana perfume kila saa kiatu kinangáa yaani haraka sana vijiweni ni shoga .
Kuna kipindi nilihamia ule mtaa wa kanisa la mzee pinda kinondoni ,nilikuwa nimeajiriwa kwenye law firm moja mjini kati kwa kuwa mwezi wa mwanzo sikuwa na gari kwani nililiacha mkoan nikawa kila nikija mtaani nagari tofauti ,kidogo mimi siko social kiivyo nkawa sina time sana na maisha ya mtaani nkikaa baa nakaa mwenyewe napiga kilaji huyoo home ,weekend nashinda ndani na jamaa zangu wasio wa mtaani nkitoka ni moja kwa moja job .
Sasa akanitembelea mdogo wangu ambae yeye mwenzangu yuko very social week tu washamjua watu wote tena hadi anakopa madukani wakati mimi nkimaliza salamu sina la kuongeza ,basi kuukaa nao ndo akaniambia vijana wanaomba awaconnect na mimi niwafanye container kupeleka unga nje ya nchi ,mara nina urafiki sana na mbunge flani ambae ndo mzee wa poda ,mimi hata kuwahi kumuona sijawahi ,mara sijui huwa naleta marafiki zangu wanakuja kuchukua mzigo kwangu na stori zilikuwa detailed sana ,nikahisi utani akanionesha na meseji zote .
Baada ya wiki polisi wakaja kwangu wakakagua kinyama .