Nyendo JF-Expert Member Joined Jun 4, 2017 Posts 1,336 Reaction score 4,731 Nov 14, 2024 #1 Ni wiki sasa tangu nione kukatika kwa umeme maeneo mbali mbali hapa Dar. Hivi navyoandika hapa mtaani nilipo umeme umekatika na jana pia ulikatika najiuliza je, kuna mgao? Kama kuna mgao kwa nini TANESCO mpo kimya hamtoi taarifa, mnatuharibia kazi zetu semeni tujue basi
Ni wiki sasa tangu nione kukatika kwa umeme maeneo mbali mbali hapa Dar. Hivi navyoandika hapa mtaani nilipo umeme umekatika na jana pia ulikatika najiuliza je, kuna mgao? Kama kuna mgao kwa nini TANESCO mpo kimya hamtoi taarifa, mnatuharibia kazi zetu semeni tujue basi
Vincenzo Jr Platinum Member Joined Sep 23, 2020 Posts 24,262 Reaction score 58,728 Nov 14, 2024 #2 Unakaa sehemu Gani ndugu huku Kigamboni hawakati umeme
Nyendo JF-Expert Member Joined Jun 4, 2017 Posts 1,336 Reaction score 4,731 Nov 14, 2024 Thread starter #3 Vincenzo Jr said: Unakaa sehemu Gani ndugu huku Kigamboni hawakati umeme Click to expand... Naishi sehemu ya makazi ya binadamu
Vincenzo Jr said: Unakaa sehemu Gani ndugu huku Kigamboni hawakati umeme Click to expand... Naishi sehemu ya makazi ya binadamu