Dar kuna wanawake wengi kuliko wanaume

Niko sehem nimekaa hapa, yani wanaopita ni wanawake wengiwao, halafu wazuri! Yani dar bana

Mpaka nafikiria huko mikoani watu wanaishije? Wanakosa mengi sana
Angalia huyu soon!!! utafanywa Bwabwa tena kwa lazima hao unao dhani ni wanawake ni madume haswaaa!! yana mishedede tena hatari!!

ila hayatongozi wanawake wanawakataa!! hivyo yana usongo hayo!! hee hapo sasa yako mawindoni yanatafuta Bikra za nyaa za me kutoka bara!! hasa wanokula ugali wa ulezi ni watamu sana!! kwanza ni pana halafu ngumu wanapendaga sana,

Km Mkoa wako una kula sana Ugali wa mtama na ulezi jichunge wanapendwa mno but wanaulizaga kwanza hapo utagharimiwa kila kitu!! jichanganye kutongoza uone muziki wake!!

uta rwafi wewe mpaka uzae nao kisicho julikana hayaaa!!! yangu ni hayo wewe jipendekeze tu! kusifia sifia ! uanatakiwa upite km huwaoni vile wanajua huyu wa hapa hapa!! lkn shingo feni maweeee!! asusa......
 
Itakuwa mlimani city mkuu .. kumbe na makumbusho wapo eeh..πŸ˜€
Mkuu hapo Mlimani City wengi wanaenda kama shopping,show off na recreation. Jaribu kutembelea Makumbusho Stendi siku za week au Pale Posta mpaka NBC utakutana nao wamevaa official na hawana makuu.

Hawa dada/mama zetu wanapendeza na ni wazuri kweri kweri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…