Dar kwenda Mbeya na passo

Dar kwenda Mbeya na passo

Paul Mchumi

JF-Expert Member
Joined
Sep 26, 2013
Posts
1,039
Reaction score
1,256
Mazee habari,nauliza kama naweza kwenda Mbeya toka Dar na ka gari kangu haka kadogo ka toyota Passo nina dharula kidogo,na kwa wazoefu mafuta ya kiasi gani naweza tumia,ka passo kenyewe ni kale kadogo ka pistoni 3....kwa mzoefu naomba anidaidie!
 
Inafika vizuri kabisa kikubwa fanya service vyema kabla ya kuondoka na unapokuwa njiani usiige mwendo wa dereva anae kupita, hii huwa nichangamoto kubwa sana kwa madereva wengi pindi wawapo bara barani pindi wanapo pitwa na magari mengine.
 
Inafika vizuri kabisa kikubwa fanya service vyema kabla ya kuondoka na unapokuwa njiani usiige mwendo wa dereva anae kupita, hii huwa nichangamoto kubwa sana kwa madereva wengi pindi wawapo bara barani pindi wanapo pitwa na magari mengine.
Thanks mkuu!
 
Kwani usifike??
Ukiachana na mambo ya service pia jitahidi na ni muhimu kuzingatia hili
1.usiende zaidi ya speed 100
2.jitahidi kupumzisha mashine kila baada ya km 120
3.usifanye na league na akina Subaru utapasua block
4.kama gari yako unatumia maji Kwenye rejeta mwaga maji yote na uanze kutumia coolant itasaidia Sana kupoza engine ya gari yako
5.kama sio mzoefu wa Safar ndefu usitembee usiku Mkuu hii ni muhimu Sana Kwa maisha yako pia usitembeze gari ukiwa alone
 
Kwani usifike??
Ukiachana na mambo ya service pia jitahidi na ni muhimu kuzingatia hili
1.usiende zaidi ya speed 100
2.jitahidi kupumzisha mashine kila baada ya km 120
3.usifanye na league na akina Subaru utapasua block
4.kama gari yako unatumia maji Kwenye rejeta mwaga maji yote na uanze kutumia coolant itasaidia Sana kupoza engine ya gari yako
5.kama sio mzoefu wa Safar ndefu usitembee usiku Mkuu hii ni muhimu Sana Kwa maisha yako pia usitembeze gari ukiwa alone
Kupumzisha naizima kabisa,au naiacha sailensa mkuu!
 
Inafika vizuri kabisa kikubwa fanya service vyema kabla ya kuondoka na unapokuwa njiani usiige mwendo wa dereva anae kupita, hii huwa nichangamoto kubwa sana kwa madereva wengi pindi wawapo bara barani pindi wanapo pitwa na magari mengine.
Haswa kwa gari ndogo aliyonayo asikimbizane na Crown, Altezza, Subaru wala Land Cruiser yeye awe mpole tu afike salama
 
Kwani usifike??
Ukiachana na mambo ya service pia jitahidi na ni muhimu kuzingatia hili
1.usiende zaidi ya speed 100
2.jitahidi kupumzisha mashine kila baada ya km 120
3.usifanye na league na akina Subaru utapasua block
4.kama gari yako unatumia maji Kwenye rejeta mwaga maji yote na uanze kutumia coolant itasaidia Sana kupoza engine ya gari yako
5.kama sio mzoefu wa Safar ndefu usitembee usiku Mkuu hii ni muhimu Sana Kwa maisha yako pia usitembeze gari ukiwa alone
Kwanini aipumzishe kila baada ya 120km?
 
Kwani usifike??
Ukiachana na mambo ya service pia jitahidi na ni muhimu kuzingatia hili
1.usiende zaidi ya speed 100
2.jitahidi kupumzisha mashine kila baada ya km 120
3.usifanye na league na akina Subaru utapasua block
4.kama gari yako unatumia maji Kwenye rejeta mwaga maji yote na uanze kutumia coolant itasaidia Sana kupoza engine ya gari yako
5.kama sio mzoefu wa Safar ndefu usitembee usiku Mkuu hii ni muhimu Sana Kwa maisha yako pia usitembeze gari ukiwa alone
120 kupumzika mbona kama ndogo sana mkuu
 
Kupumzisha naizima kabisa,au naiacha sailensa mkuu!
Kama umeamua kuipumzisha gari izime kabisa. Usiweke silence. Gari ukiiweka silence (idle) hujaipumzisha bado, engine bado inaendelea kuwa moto na tena kama umepiga nayo safari ndio kabisa inaendelea kuwa moto haipoi. Kumbuka, unapokuwa njiani, sio maji tu ndio yanapoza mashine, ule upepo unaopiga kwenye radiator na engine kwa ujumla unasaidia sana tena sana kupoza mashine ndio maana ukikaa silence mda mrefu unaona feni zinazunguka. ila kama upo kwenye mwendo, hutozisikia zikizunguka kwa sababu tayari upepo wa kutosha upo
 
Watajuaje ana gari?
Ndio akili yako ilipoishia,...ndio nyinyi mpaka leo mnaona kuwa na gari ni ufahari....wakati nowadays gari ni basic need,na unaamua kuwa na gari ili ikurahisishie maisha,....ubovu watanzania tunaona sifa kuwa masikini.....,sasa ka gari kama haka ka passo ambako mtu yeyote akijipanga ananunua wewe kichwani mwako unawaza ufahari.,....tujifunze kuficha upumbavu wetu kwa kukaa kimya....!
 
Back
Top Bottom