Dar: Mahakama ya Kisutu yamfutia kesi na kumwachia huru dereva aliyetuhumia kumteka Mo Dewji

Isisahaulikele kufutwa na ile ya Mwamba aliyepakaziwa gaidi.
 
Futeni haraka pia kesi ya ugaidi# Mbowe sio gaidi na walinzi wake pia, mnaliaibisha taifa.Kelele zikizidi tutapata hasara kubwa.
 
Huyo Mussa Twalib amechukuliwa kuwa kama "scapegoat" wakati wahusika wa utekaji na kutesa watu, wakiwa wanapeta mitaani😁😁
Soon wasiojulikana watatoka likizo tumetoka Bujumbura
 
NANI ALIMTEKA MO au HAKUTEKWA?
 
Kumbe hii kesi iliisha?
Kumbe hii kesi iliisha?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…