Tareq20
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 322
- 977
Muda sio mrefu nimesikia mlipuko mkubwa hapa ferry mwenye taarifa zaidi atujuze kipi kimetokea
Mlipuko ni mitungi ya gesi inakipuka pale Taifa gesi nagari ya zimamito yanaelekea huko huku Tabesco wakiwa wamezina umeme Hadi muda huu
Tupo nje tu tunashangaa tujue hatma isije unarud ndan moto unaongezekana hapa kigamboni maeneo mengi gesi imepita chini