Kanungila Karim
JF-Expert Member
- Apr 29, 2016
- 20,743
- 25,564
- Thread starter
-
- #21
Kumbe Izrael to be hakuna mbali na tukio akaja kumchukua Wife to be jumla jumlaHuenda wakiwa ghouse, husband to be alipitia simu ya wife to be akakuta vitu na sms zisizofaa. Katika prukushani, husband to be akawa amakamata mtandio wa mpenzi wake kiasi ukatelezea shingoni kuwa km anamkaba. Binti kuona anakabwa ( ingawa ilikuwa tisha toto), akahamaki na kumng'ata kikwelikweli husband. Husband akatapatapa na kukaza kidogo mtandio ili wife asiendelee kumng'ata. Kukawa na kusukumana huku na huku kiasi mtandio ukakaza zaidi...........Pole yao. Mungu aepushie mbali haya!!!
mmh mbona km kuna ukakasi hivi maan marehemu alituma sms kwao hayupo, (kwenye mikono salama) alafu mwili (umeokotwa) haujakutwa guest house huko.Huenda wakiwa ghouse, husband to be alipitia simu ya wife to be akakuta vitu na sms zisizofaa. Katika prukushani, husband to be akawa amakamata mtandio wa mpenzi wake kiasi ukatelezea shingoni kuwa km anamkaba. Binti kuona anakabwa ( ingawa ilikuwa tisha toto), akahamaki na kumng'ata kikwelikweli husband. Husband akatapatapa na kukaza kidogo mtandio ili wife asiendelee kumng'ata. Kukawa na kusukumana huku na huku kiasi mtandio ukakaza zaidi...........Pole yao. Mungu aepushie mbali haya!!!
Mwenyewe nikawa najiuliza anakataje ticket ubungo kwa ajil ya kurudi UDSM??Title umeandika UDSM ndani UDOM, anyway pole kwa wafiwa
hiyo elimu inatolewa wapi mkuu na mimi yasinikute walau nipate kachetiVijana wa kizazi hiki wanahitaji sana elimu ya mapenzi..hasa kwenye kipindi hiki cha teknolojia ya simu za mikononi..maana hapo Ndio kwenye tatizo kubwa.
we umejuaje kama mauti yake yamesababishwa na mapenzi?? wakati yeye alienda kukata tiketi na meseji yake ya mwisho alisema hayuko katika mikono salamalawama kwa wazazi wa mwanamke, je mama hakujua kwamba mwanaye ni mwanafunzi na anagawa papuchi? je dini inaruhusu kutoa uchi kabka ya ndoa? ka a sivyo wazazi walaumiwe, haya je wazazi wa kiume hawakujua mwanao ana demu na ni kinyume cha maadili? mpaka afikie kipindi cha kuoa? kama ndivyo basi walaumiwe wote kabisa,
mapenzi na shule ni mbingu na jehanamu, bora hata watoto wafundishwe kupiga puli kuliko mapenzi.
Tumekuja na tumeskia alie mnyonga ni mwanamke mwingine wa uyo kaka[emoji41][emoji41][emoji41]Wanaume njooni maana mnawasema wanawake walivyo viumbe wa ajabu.
😢😢😢😢😢Maandishi haya yamenitoa machozi. Apumzike kwa amani.Kwaherini wazazi wangu, sipo kwenye mikono salama,
Thibitisha.Tumekuja na tumeskia alie mnyonga ni mwanamke mwingine wa uyo kaka[emoji41][emoji41][emoji41]
😀ont folo folo me wizout ene bikoz: