LGE2024 Dar: Mwenyekiti Baraza Vyama vya Siasa akanusha madai ya baadhi ya vituo vya kupigia kura kuendesha zoezi kinyume na utaratibu

LGE2024 Dar: Mwenyekiti Baraza Vyama vya Siasa akanusha madai ya baadhi ya vituo vya kupigia kura kuendesha zoezi kinyume na utaratibu

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Wakuu,


Mwenyekiti wa Baraza la Vyama vya Siasa Juma Khatibu amekanusha madai yanayochapishwa kupitia Video Clip inayosambaa Mitandao ya Kijamii kuhusu baadhi ya Vituo vya kupiga kura kuendesha zoezi hilo kinyume na Utaratibu.

Kupata taarifa na matukio ya kimkoa kuhusu Uchaguzi Serikali za Mitaa ingia hapa: LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Amesema akiwa mwakilishi wa Vyama vya Siasa Tanzania, amezunguka kujionea hali ya Vituo vya Kupigia Kura jijini Dar es Salaam ikiwemo Wilaya ya Kinondoni, ambapo amejiridhisha kuwa madai yaliyotolewa kupitia Video hiyo na kubaini kuwa ni upotoshaji unaolenga kudhoofisha zoezi la Uchaguzi huu na nia njema ya kukuza Demokrasia ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa Vyama vya Siasa nchini.
 
Yuko sahihi, vyombo vya dola vimedhibiti magenge ya wahuni
 
Hela yetu na mikopo inaishia kwa watu kama hawa. Watoto wa masikini watakuja kulipa hela walipewa machawa kama hawa
 
Yuko sahihi, vyombo vya dola vimedhibiti magenge ya wahuni
Nchi hii wahuni na majamabzi maharamia, yapo ndani ya chama.

Wanaoteka na kuua watu wapo huko. Mafisadi ya kutafuna mabilioni ya walipa kodi, yapo huko. Wanaoiba na kupora chaguzi, yapo huko. Hakika hiki ni Chama Cha Mashetani.
 
Una ushahidi?
Hata alipopigwa risasi TAL swali hili liliulixwa
Mawazo alipokatwa mapanga swali hili liliulizwa.
Akwilin Akwilin, gwanda na sanane swali hili liliulizwa pia?
Unataka ushahidi toka kwangu wakati mm mwenyewe nimeyashudia ASUBUHI!
Nilishasimamia chaguzi najua
Niliona kura zikipigwa 2020 siku moja kabla ya uchaguzi pale ccm mkwajuni
TABIA HUJENGA MAZOEA
 
Wakuu,

View attachment 3163246

Mwenyekiti wa Baraza la Vyama vya Siasa Juma Khatibu amekanusha madai yanayochapishwa kupitia Video Clip inayosambaa Mitandao ya Kijamii kuhusu baadhi ya Vituo vya kupiga kura kuendesha zoezi hilo kinyume na Utaratibu.

Amesema akiwa mwakilishi wa Vyama vya Siasa Tanzania, amezunguka kujionea hali ya Vituo vya Kupigia Kura jijini Dar es Salaam ikiwemo Wilaya ya Kinondoni, ambapo amejiridhisha kuwa madai yaliyotolewa kupitia Video hiyo na kubaini kuwa ni upotoshaji unaolenga kudhoofisha zoezi la Uchaguzi huu na nia njema ya kukuza Demokrasia ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa Vyama vya Siasa nchini.
Yaani anakua mpumbavu hadi anabishana na uhalisia. Unawezaje kuikana Ile video? Alitaka awepo yeye ajionee? Huyu nae ni mwendawazimu
 

Mwenyekiti wa Baraza la Vyama vya Siasa Tanzania, Juma Ally Khatibu, amekanusha madai yanayochapishwa kupitia video clip inayosambaa mitandaoni kuhusu baadhi ya vituo vya kupiga kura kuendesha zoezi hilo kinyume na utaratibu.

Amesema akiwa kama mwakilishi wa Vyama vya Siasa Tanzania, amezunguka kujionea hali ya vituo vya kupigia kura jijini Dar es Salaam ikiwemo Wilaya ya Kinondoni, ambapo amejiridhisha kuwa madai yaliyotolewa kupitia video hiyo hayana ukweli.​

 
Wakuu,


Mwenyekiti wa Baraza la Vyama vya Siasa Juma Khatibu amekanusha madai yanayochapishwa kupitia Video Clip inayosambaa Mitandao ya Kijamii kuhusu baadhi ya Vituo vya kupiga kura kuendesha zoezi hilo kinyume na Utaratibu.

Amesema akiwa mwakilishi wa Vyama vya Siasa Tanzania, amezunguka kujionea hali ya Vituo vya Kupigia Kura jijini Dar es Salaam ikiwemo Wilaya ya Kinondoni, ambapo amejiridhisha kuwa madai yaliyotolewa kupitia Video hiyo na kubaini kuwa ni upotoshaji unaolenga kudhoofisha zoezi la Uchaguzi huu na nia njema ya kukuza Demokrasia ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa Vyama vya Siasa nchini.
Mtume (S.A.W) alisema:

"Shikamaneni na kusema kweli, kwa sababu ukweli huongoza kwenye wema, na wema huongoza Peponi. Na mtu ataendelea kusema kweli na kujitahidi kuwa mkweli mpaka ataandikwa mbele ya Mwenyezi Mungu kuwa ni mkweli. Na jihadharini na uongo, kwa sababu uongo hupelekea kwenye uovu, na uovu hupelekea Motoni. Na mtu ataendelea kusema uongo na kujitahidi kuwa muongo mpaka ataandikwa mbele ya Mwenyezi Mungu kuwa ni muongo."
(Sahih al-Bukhari, Hadithi 6094; Sahih Muslim, Hadithi 2607)
 
Wakuu,


Mwenyekiti wa Baraza la Vyama vya Siasa Juma Khatibu amekanusha madai yanayochapishwa kupitia Video Clip inayosambaa Mitandao ya Kijamii kuhusu baadhi ya Vituo vya kupiga kura kuendesha zoezi hilo kinyume na Utaratibu.

Amesema akiwa mwakilishi wa Vyama vya Siasa Tanzania, amezunguka kujionea hali ya Vituo vya Kupigia Kura jijini Dar es Salaam ikiwemo Wilaya ya Kinondoni, ambapo amejiridhisha kuwa madai yaliyotolewa kupitia Video hiyo na kubaini kuwa ni upotoshaji unaolenga kudhoofisha zoezi la Uchaguzi huu na nia njema ya kukuza Demokrasia ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa Vyama vya Siasa nchini.
Nimestushwa sana na huyu jamaa

Uchaguzi ulishaharibika kuanzia kwenye Katiba, Sheria na uandikishaji wa wapiga kura.
 
Wakuu,


Mwenyekiti wa Baraza la Vyama vya Siasa Juma Khatibu amekanusha madai yanayochapishwa kupitia Video Clip inayosambaa Mitandao ya Kijamii kuhusu baadhi ya Vituo vya kupiga kura kuendesha zoezi hilo kinyume na Utaratibu.

Amesema akiwa mwakilishi wa Vyama vya Siasa Tanzania, amezunguka kujionea hali ya Vituo vya Kupigia Kura jijini Dar es Salaam ikiwemo Wilaya ya Kinondoni, ambapo amejiridhisha kuwa madai yaliyotolewa kupitia Video hiyo na kubaini kuwa ni upotoshaji unaolenga kudhoofisha zoezi la Uchaguzi huu na nia njema ya kukuza Demokrasia ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa Vyama vya Siasa nchini.
Leo ni siku ya upuuzi hakuna uchaguzi,
Wenye akili tumejitenga na huu upuuzi,

Kwa Nini tamisemi wamegangania kusimamia uchaguzi?; kama kweli wanajali demokrasia na haki za watu
 
Nchi hii wahuni na majamabzi maharamia, yapo ndani ya chama.

Wanaoteka na kuua watu wapo huko. Mafisadi ya kutafuna mabilioni ya walipa kodi, yapo huko. Wanaoiba na kupora chaguzi, yapo huko. Hakika hiki ni Chama Cha Mashetani.
Siku hizi hawana aibu wanafanya uhuni hadharani kwa jeuri ya dola, kwa kuwa wanaumiza cdm wanashangilia

Siku zaja
wataanza kufanyiana uhuni wao kwa wao
 
Back
Top Bottom