Dar: Mwili wa mtu asiyejulikana wakutwa kwenye shimo la choo Tabata

Dar: Mwili wa mtu asiyejulikana wakutwa kwenye shimo la choo Tabata

Mshangazi dot com

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2011
Posts
1,345
Reaction score
3,503
Nimeona habari ya viungo na mafuvu yanayodhaniwa kuwa ya mwanamke kupatikana kwenye chemba ya maji Tabata. Mambo ya kutisha sana 🤦🏽‍♀️😔.

Tukio gani la ajabu umeshawahi kulishuhudia huko mtaani kwenu?

=====



Mwili wa marehemu ambaye haujatambulika umekutwa katika shimo la choo ndani ya nyumba iliyopo maeneo ya Ubaya-ubaya, Mtaa wa Blue Sky - Tabata, Dar es Salaam.

Kwa muujibu wa taarifa ya Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa huo, Peter Joackim, nyumba hiyo iliyokuwa ya wapangaji kwa sasa haina mpangaji hata mmoja na hakuna taarifa kuhusu walipo wapangaji husika.

Pia soma: Update: Mwili wa Mtoto Albino (Asimwe) wakutwa hauna baadhi ya viungo
 
Namwogopa mwanadamu zaidi ya simba mwenye njaa.
 
Tofauti ya mwanadamu na mnyama ni kwamba kuna muda mwanadamu anakua mnyama zaidi ya mnyama mwenyewe. Ndio madhara ya Adam kula tunda la kujua mema na mabaya
 
Nimeona habari ya viungo na mafuvu yanayodhaniwa kuwa ya mwanamke kupatikana kwenye chemba ya maji Tabata. Mambo ya kutisha sana 🤦🏽‍♀️😔.

Tukio gani la ajabu umeshawahi kulishuhudia huko mtaani kwenu?

=====

View attachment 3219173

Mwili wa marehemu ambaye haujatambulika umekutwa katika shimo la choo ndani ya nyumba iliyopo maeneo ya Ubaya-ubaya, Mtaa wa Blue Sky - Tabata, Dar es Salaam.

Kwa muujibu wa taarifa ya Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa huo, Peter Joackim, nyumba hiyo iliyokuwa ya wapangaji kwa sasa haina mpangaji hata mmoja na hakuna taarifa kuhusu walipo wapangaji husika.

Pia soma: Update: Mwili wa Mtoto Albino (Asimwe) wakutwa hauna baadhi ya viungo
Huo mwili utakuwa ni wa mfanyakazi wa ndani, wakipeleleza kuhusu wafanyakazi wa ndani waliotoweka toka kwenye nyumba hiyo watapata jibu.
 
Kuna watu kwenda Mbinguni hawataki kabisa..!
 
Kama you are sure, wasaidie polisi kwenye uchunguzi basi, maana mpaka sasa hawa suspect.
me sina haja ya kuwasaidia...ila wakimuhoji vizuri huyo mwarabu koko watapata clues...unawajua waarabu vizuri?
 
Back
Top Bottom