sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
Pia nje ya Singida wanyaturu wamejazana sana Arusha,Wanyaturu wenzangu wako wapi
Na je wamwera wakwe zangu wanapatikana wapi
Msaada tafadhali.
Tabata kimanga wapo kibaoMnyakyusa ukitaka kuonana na wenzio nenda Keko
Wahaya watoe hapo Sinza hao wapeleke Tegeta Basihaya.Dar na wakazi wake:
wachaga > kimara,
wahaya > sinza
Wakurya > kitunda
wapemba > ilala na kigamboni
waarabu > kariakoo
wapi tumesahau ??
Hilo nalijua..arusha wadada wa bar na wakaka wachimbo ya madini wengi wanyaturu..nataka Data za darPia nje ya Singida wanyaturu wamejazana sana Arusha,
True uswahilini wanajaaga sana haoWadigo na Wasambaa Magomeni
Wahindi wa dar?Dar na wakazi wake:
wachaga > kimara,
wahaya > sinza
Wakurya > kitunda
wapemba > ilala na kigamboni
waarabu > kariakoo
wapi tumesahau ??
Keko magurumbasi, ni mwendo wa "ugonile" tu utafikiri upo Tukuyu au IlejeMnyakyusa ukitaka kuonana na wenzio nenda Keko
Ujenzi wa kule ukoje mkuuChanika na Machinga!!!
Ujenzi wa kule umesadifu maana ya Chinga na Wamachinga wenyewe.
Pamoja na mbezi beach, toka lini Wahaya wakapatikana Sinza?Wahaya watoe hapo Sinza hao wapeleke Tegeta Basihaya.