Dar ndio kuna asali chungu namna hii

Dar ndio kuna asali chungu namna hii

MulRZGM

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2017
Posts
1,015
Reaction score
747
Nimeagiza asali jion nikamwambia mamy ikifika aipokee... Muda si mrefu nimeionja nimekuta ina radha chungu, af nyeusiiii.... Asee huu ni uchakachwaji na si uchakachuaji huu, lohh!!!
 
Duuu Umekwisha Mkuu!!!

Humo Kuna Bonge La Limbwataa[emoji23]
 
Next time nunua super market ni nzuri sana acha kupenda vya bei chee,m huwa napata asali nzuri sana
 
unaijua molasez ile wanapewa ngombe na inatengezewa gongo ndo iyo umiuziwa chamaa
 
Nikipata watoto nitawaita
"Tuma" na "yakutolea" na hakuna kitu mtanifanya
 
Siku nyingine kanunue Asali kwenye Duka la mali asili pale Keko
 
Nimeagiza asali jion nikamwambia mamy ikifika aipokee... Muda si mrefu nimeionja nimekuta ina radha chungu, af nyeusiiii.... Asee huu ni uchakachwaji na si uchakachuaji huu, lohh!!!
Hahaha,hiyo ni asali ya nyuki wadogo wasiouma.hyo ndo super Sasa na bei yake ikojuu
 
Back
Top Bottom