Dar port overtaking Mombasa at the supersonic speed

tanzagiza ni shamba last bibi. kama tra wanangoja ni post threads hapa ndio waamke usingizini bas tutazidi kuilamba tz.
 
TE="mulisaaa, post: 27136429, member: 439084"]Usiongee kama umetoka kufuta kinyesi cha muarabu. Leta evidence hatu taki maneno matupu humu😀😀 Tupatie Oil Cargo ya kwenu

Wewe wa wapi hujui hata ku quote humu JF😀😀
 
only a fool like you would want to compare the capacity of mombasa port with that of dar port. wether bulk or containerized cargo mombasa ndio baba yao this sides of the world.
Wewe wa wapi hujui hata ku quote humu JF😀😀[/QUOTE]

hoja zimekuishia?
 
tanzagiza ni shamba last bibi. kama tra wanangoja ni post threads hapa ndio waamke usingizini bas tutazidi kuilamba tz.
Wewe ndo ulipost hiyo thread hapa.?? Kwakuonyesha mchezo unapoanzia huko Dubai pitia hii video.😀😀 Wanaficha tairi ndogo ndani ya kubwa. Then baadae hizo taîri ufungwa upya na nylon kwa kutumia mashine kama zilivyotoka kiwandani😀😀 It seems na wewe ulifanya hii kazi Dubai😀😀
 
Wewe wa wapi hujui hata ku quote humu JF😀😀

hoja zimekuishia?[/QUOTE]
Hoja wewe una hoja. Ungekuwa na hoja ungesoma kwanza thread vizuri.. Unakuja na thread ya zamani unaingiza kwenye thread mpya. Fool !
 
[QUOTEnadhaniQUOTEpost: 27137092, member: 439084"]Wewe ndo ulipost hiyo thread hapa.?? Kwakuonyesha mchezo unapoanzia huko Dubai pitia hii video.😀😀 Wanaficha tairi ndogo ndani ya kubwa. Then baadae hizo taîri ufungwa upya na nylon kwa kutumia mashine kama zilivyotoka kiwandani😀😀 It seems na wewe ulifanya hii kazi Dubai😀😀
[/QUOTE]

hoja zimekuishia?
Hoja wewe una hoja. Ungekuwa na hoja ungesoma kwanza thread vizuri.. Unakuja na thread ya zamani unaingiza kwenye thread mpya. Fool ![/QUOTE]

wewe nadhani unaugua ebola kama wenzako huko kivu maana hujielewi. mwenye mada amejiondoa kwa kuona ujinga wake sasa wewe sijui unafanya nini hapa.

**dar port bado iko in diapers. tumeshajadili hilo jambo hapa hadi tamati. fuata link nilioiweka ujielimishishe. you can thank @youngDuniversity later.
 
Jifunze ku quote vizuri kwanza
Au unatumia simu ya tochi ??
 
Mzee mzima na upara unajiita Young D😀😱Unashindwa kujenga hoja kutokana na thread unaingiza info za SGR humu ndani ! Wewe pimbi kweli na utazidi kuisoma number
😀😀
 
Kwani Hii port of Dar es sluum ni hovyo aje? yani bado watanzagiza wanaitumia our port and SGR...Tz needs another colonization for almost half a century and this time from their watani wa jadi, KENYA ili wanyooke na tuvune as much in ''these garden of wives''.
 
Mzee mzima na upara unajiita Young D😀😱Unashindwa kujenga hoja kutokana na thread unaingiza info za SGR humu ndani ! Wewe pimbi kweli na utazidi kuisoma number
😀😀
Uliangalia Google babaa zile Picha zako zinatumika na mash#ga mitandaoni 😀😀
 
50 percent anaona kubwa sana hajui ukiongeza container moja kwa port ya container mbili hio ni fifty percent increase😀😀😀...hii ngombe ya manzese sijui ilienda shule wapi😀😀😀
 
We are talking of a Port here not some semblance of which.... it will take 20 years for Dar to be anywhere near where Mombasa Port is... and Mark you another Phoenix is fast rising at the LAMU...... LAMBENI LOLO NYIE WADANGANYIKA NA WADANGANYWA
 
RANSIT OIL CARGO AT DAR PORT GROWS BY 50 PER CENT(Petroleum Bulk Procurement Agency-PBPA Data).-

The Guardian Tuesday, May 15-21, 2018. "The Dar es Salaam Port is increasingly becoming the traders choice." View attachment 778215
Ripoti yenyewe inasema Dar ili handle 13.8 million tonnes.... Mombasa ilifikisha 30 million tonnes mwaka jana ! Hii si competition, hii ni domination... ondoeni upuzi hapa, your 50% is like our 10%
 
Yani hata Ethiopia nao wanatumia bandari ya Mombasa wakati wako na SGR yao ya umeme..hehe Lamu port ikikamilika !

Kuhusu Tz, tunafaa kujenga ICD pale Voi, mizigo ya Tz ikiingia bandarini inawekwa kwa SGR directly na kusafirishwa hadi voi ICD ambapo itakaguliwa alafu malori ya Tz yatakua yanagojea mizigo yao hapo waichukue na kutumia border ya taveta/holili...
 
huyo limbukeni aliweka thread ya kipuuzi nikampasha akatoroka! yaani kwa mwezi tunasafirisha container za watz about 1000 20teu's na za DRC about 400 20teu's sasa sijui ni upuzi mgani alikuwa analeta hapa.
 
huyo limbukeni aliweka thread ya kipuuzi nikampasha akatoroka! yaani kwa mwezi tunasafirisha container za watz about 1000 20teu's na za DRC about 400 20teu's sasa sijui ni upuzi mgani alikuwa analeta hapa.
Nani katoroka wewe bwege. Kwa hiyo unazani wa TZ tuko jobless kama nyie kwamba mtu anapoweka thread akae kui defend ?? Tupo tunajenga nchi. Tunachofanya nikutoa info
Wewe umekuja na info ya zamani humu wakati sisi tumekupa latest news.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…