SU tv.Nimeitafuta hiyo mechi, sijaipata inaonyeshwa Chanel gani? natumia Azamtv
OK, shukranSU tv.
Kwa hiyo...Leo kwenye derby ya Kariakoo kati ya Yanga na Simba rais Samia amehudhuria mechi hiyo huku akiwa na tahadhari zote za kujikinga na ugonjwa wa Corona ikiwemo kuvaa barakoa na kufanya social distance.
Cha ajabu mashabiki wengine wamejazana huku wakimshangilia rais Samia na mpira bila kuvaa barakoa wala tahadhari yoyote dhidi ya ugonjwa wa Corona.
Yaaani kulinda afya yako mpaka rais akuambie?Hivi wazungu wanapomuona anafanya hivyo anafikiri wanamuelewaje?
Hivi kwenu unawakubwa?jiheshimu kuandika vyemaMkuu, jaribu kuwa na adabu japo kidogo!
Aiseh huyo jamaa uliemkoti mpaka nimeshangaaMkuu, jaribu kuwa na adabu japo kidogo!
Unapoandika humu ni lazima ujipe muda wa kufikiria mkuu jamiiforum inatofauti na facebook mkuu.Rais na mimi ni vitu viwili tofauti.Mimi nipo kupigania maslahi yangu ila Rais yupo kupigania maslahi ya Taifa.Rais kuzurura inaathiri Taifa ila mimi kuzurura haiathiri Taifa.Unahitaji PhD kujua vitu vidogo kama hivi au ni kwamba umbumbu ni kipaji chako?
Ndomana tunataka Katiba mpya. Hapa Kuna Rais Samia na Rais Karia, nini hiki Sasa? Katiba mpya itamke kua Rais ni mmoja tu, kiongozi wa mhimili wa Serikali. Hao Marais wengine wabadilishwe majina waitwe hata Wenyeviti.Rais Samia Suluhu amehudhuria mchezo wa Watani wa Jadi kati ya #Simba SC na #Yanga SC unaochezwa Uwanja wa Taifa
Iwapo Simba itaondoka na alama 3 itakuwa imetawazwa Bingwa wa Ligi Kuu Bara kwa mara ya nne mfululizo
View attachment 1838976
View attachment 1839118
View attachment 1839119
View attachment 1839120
View attachment 1839121
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akizungumza na Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu (TFF) Wallace Karia, alipowasili katika Uwanja wa Benjamin Mkapa leo tarehe 03 Julai, 2021 kwa ajili kuangalia mpambano kati ya Watani wa Jadi Simba na Yanga.
Na Kwa Sababu alikua kwenye Uzinduzi wa Kitabu Cha A. H. Mwinyi ndio maana Mechi ikasogezwa mbele.Kumbe tarehe 8 mei , alitakakuhuria pia [emoji16], no we know
Serikali imshonee rais pamoja na viongozi wa serikali mask nzuri; siyo kumvalisha mask za kumfanya aonekane kimbe cha ajabu.Rais Samia Suluhu amehudhuria mchezo wa Watani wa Jadi kati ya #Simba SC na #Yanga SC unaochezwa Uwanja wa Taifa
Iwapo Simba itaondoka na alama 3 itakuwa imetawazwa Bingwa wa Ligi Kuu Bara kwa mara ya nne mfululizo
View attachment 1838976
View attachment 1839118
View attachment 1839119
View attachment 1839120
View attachment 1839121
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akizungumza na Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu (TFF) Wallace Karia, alipowasili katika Uwanja wa Benjamin Mkapa leo tarehe 03 Julai, 2021 kwa ajili kuangalia mpambano kati ya Watani wa Jadi Simba na Yanga.