Dar: Rais Samia Suluhu ahudhuria mechi ya Simba na Yanga

Mkuu kunatofaut Kati ya Rais samia na rais karia..
 
Hivi wazungu wanapomuona anafanya hivyo anafikiri wanamuelewaje?
Dah....kwani Ile pesa wameitoa tayari? Alisema wazi kabisa alipoapishwa.....ukimzingua mnazinguana...🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤭
 
Inapendeza na ahsante kwa taarifa...

Raba zake nzuri...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…