Kamtafuta ray siku nyingi akafikir ray ni yule yule mpole safari hii ray kaona anavuka mipaka kutaka afungwe kumchafua amebaka mwanafunzi
Mwanaume hadhaririki(afrika) tena hao vijana!!kama mchungaji wa kiume mwenye kondoo wake, anashindwa kudharirika, sembuse hao wahuni?!sana sana utaona amepaishwa!!ila hapa serikali inawachekea sana , hizo sheria za mtandao kwa hawa wasanii hazizingatiwi kabisa!!ilitakiwa ili kuikomesha wangetoa mfano kwa mmoja wao, akakaa jela hata mwaka, bila faini, wangeogopa!!!Rebeca kusamehe mimi nisingeweza, sio kwa hizo video clip walizotuma kwenye mitandao ya kijamii. Harmonize wamemdhalilisha na kumpoteza kwenye sanaa safari hii.
Kukimbilia polisi sio uanaume.. Ilibidi nae ajipange ajibu mapigo kimya kimya kama bluce lee.. Sasa anakimbilia polisi kutafuta huruma.. Kweri nimeamini konde boy ni mshamba wa chitohori mtwara vijijin... Tena mwari wa kimakonde kabisa.
we ni mmoja wa watu wanaoendekeza utimu..Hujawahi kuja na neutral argument kwenye maswala ya mziki..sina timu ila nawewe kama hutaki utimu basi punguza post za utimu..acha kuhubiri amani huku umeshika panga.Mmakonde ana roho mbaya sana ni vile wabongo hawamjui tu na mambo ya timu.
Washaurini Wachafu wa Roho waache Ujinga na UtotoTuangaliege na wanawake wa kuzaa nao.Hii vita anaumia zaidi ni Paula,japo mwenyewe na mama yake hawajui.
Kwani aliyemuanza mwenzake ni Nani?Haya mambo ya kupelekwa polisi kila wakat rayvanny itam Cost na kumuaribia Cv ataonekana ako na shida sehemu, kila siku tu yeye polisi , naomba Mungu leo alale Hata I Night nitafurah sana hiz mbwa zimezid umbea, Boss wao aliyewatuma safar hii watanyooka
Ahaaaaaa Cheed and Killy supporter shwariiiiiiiiiiiii.................Washaurini Wachafu wa Roho waache Ujinga na Utoto
Sasa kumbe Ray kajaribu kujibu mapigo anajikuta anaswekwa ndani we unalia Lia nini sasa Kama yatima hapa... Ubaya ubaya tu. Mmakonde yupo sawa sanaKamtafuta ray siku nyingi akafikir ray ni yule yule mpole safari hii ray kaona anavuka mipaka kutaka afungwe kumchafua amebaka mwanafunzi
hawa wote wawili mameneja wao ni wazembe.we unadhani hapo atalipishwa shilingi ngapi?
Labda gharama ya muda,ambao Ray na Harmo watapoteza
Awamalize kabisa wataanikaje pipi yake barabarani banaMmakonde ana roho mbaya sana ni vile wabongo hawamjui tu na mambo ya timu.
Harmonize siyo Kiba. Atawapelekaaaaa. Atawapekelekea motooooo. Mwaka huu mpaka mashoga mtajifungua kwa uchungu.Kamtafuta ray siku nyingi akafikir ray ni yule yule mpole safari hii ray kaona anavuka mipaka kutaka afungwe kumchafua amebaka mwanafunzi
Huyo Paula na mama yake wote ni malaya, unafilimba tu kwa mafungu kama nyanya.Rayvanny alikuwa anaenjoy na demu wake Paula kiroho Safi yaani , jitu likakurupuka huko chitoholi et Baba ake Lina machungu ha haaaa ..... Likaenda mahakamani , ma-mae watoto wa mjini wakaema ngoja tukuonyesheee ...... Paula ataendelea kuliwa , huyo konde hakuna atakacholipwa na hakuna kitu atafanya .... Na akizingua zaidi anapewa tena , video zake zipo nyingi tuu
Acheni kum blackmail mna videos zake nyingi, huu ni utoto wa kijinga,haya ameenda police mtatolea huko?Rayvanny alikuwa anaenjoy na demu wake Paula kiroho Safi yaani , jitu likakurupuka huko chitoholi et Baba ake Lina machungu ha haaaa ..... Likaenda mahakamani , ma-mae watoto wa mjini wakaema ngoja tukuonyesheee ...... Paula ataendelea kuliwa , huyo konde hakuna atakacholipwa na hakuna kitu atafanya .... Na akizingua zaidi anapewa tena , video zake zipo nyingi tuu
binamu upooo!Kumpoteza hawawezi Ndo kwanza wanampaisha, wanampa attention sana , watanzania wanapenda kusikia Habari mbaya za was watu so ni kama wanampaisha tu