sinza pazuri
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 3,344
- 9,066
- Thread starter
-
- #61
Hakuna kitu kinatokea hakikua foreseen anapambana na akili kubwa. Mpaka kila kitu kinapelekwa mjini haya yote yalitazamwaNdo akajibu mashtka polisi , Yan Kitendo cha kupelekwa tu polisi nimefurahi sana yani [emoji23]
Mmakonde si ntu, ahahahaaha amepaniki sanaaaaaaaRayvanny ameitwa Kituo Kikuu cha Polisi (Central Police) akishtakiwa na Harmonize kuwa amemdhalilisha mitandaoni.
Nitawapa updates soon
Rayvanny na baba Levo wakitoka kituo cha polisi cha central kufuatia kushitakiwa na Harmonize.
View attachment 1752846
Mpaka sasa anajua kashikwa wapi ndio maana anaangaika mara nyimbo mara polisi. Tulia utazame mchezo wewe mlupo.Harmonize siyo Kiba. Atawapelekaaaaa. Atawapekelekea motooooo. Mwaka huu mpaka mashoga mtajifungua kwa uchungu.
๐๐๐๐๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ
View attachment 1752830
Mbona mnapenda kuchanga mambo, ni ugomvi wa Rayvanny na Harmonize, na mkumbuke hapo Rayvanny anajibu ule waraka wa Mmakonde uliojaa unafiki mwingiWcb walidhani wanaimiliki bongofleva ila hawasomi alama za nyakati huu ndo muda wao kuonyeshwa kuna kupitwa na wakati
Hujui maana ya wabongo na upo JF ningekuwa mode ningekutwanga ban hahahahahaUkisema wabongo unamaanisha dar?
Kapaniki sanaaaaaaa , huwezi kula kuku na mayai yake hukabaki salamaMpaka sasa anajua kashikwa wapi ndio maana anaangaika mara nyimbo mara polisi. Tulia utazame mchezo wewe mlupo.
mmakonde unga unamchanganya.Mmakonde si ntu, ahahahaaha amepaniki sanaaaaaaa
Unajua wazungu wako Real sana, ukiona mtu kaachwa na mzungu katika mazingiraaa tatanishi, ujue hilo jamaa shenzi sanaaaaaaammakonde unga unamchanganya.
Karibu Sinza kaka, Magufuli katujengea njia nne shekilango kama mbele.Sinza pazuri
Maana yake Mwijaku alimchukua video Menina, ila hii ya Harmonize atasema hizo video zimetokaje kwake? Sababu akikubali alimtumia Paula tayari anakuwa amesambaza.Menina hana kesi maana yeye hakusambaza. Na alijiwahi kugeuza upepo kuwa victim kama anavyofanya harmo.
Mwijaku wa ajabu sana na anashangaza
Huwa nasikia Paula ni mwanafunzi, hivi anasoma shule gani na yuko kidato cha ngapi?Sasa konde kwann amtumie paula picha za utupu angali akijua paula ni mwanafunzi.. hii ishu inazidi kuwa kubwa, inawashusha sana, inaongeza chuki na kugawa kabisa mashabiki..
Baba mkwe amemshataki mkwewe, balaa zito hiloRayvanny ameitwa Kituo Kikuu cha Polisi (Central Police) akishtakiwa na Harmonize kuwa amemdhalilisha mitandaoni.
Nitawapa updates soon
Rayvanny na baba Levo wakitoka kituo cha polisi cha central kufuatia kushitakiwa na Harmonize.
View attachment 1752846
aliwahi kukwambia anakupenda?Namchukia sana huyu mmakonde sahiv
Toka day one tunawaambia wanaomshabikia Hamo hawana akili ni mbumbumbu hata management yake imejaa viazi watupu. Walikuwa wanasifia mboo ya Hamo sasa hvi wanalialia tu na V Vanny Boy anavyoupiga mwingiKitakachofuata harmonize atashindwa kesi alafu Rayvanny atadai fidia ambayo itampoteza konde mazima.
Hii comment yangu nitakuja kuifufua kibao kikimgeuka konde boy.
Huwezi kumshtaki mtu kwa video ulizojichukua mwenyewe alafu zikasambaa! Lazima mtuhumiwa namba moja awe ni yeye mwenyewe
Kuna faili lake na Majizo ni vile watu wanamlindia heshima majizo tu lingeachiwa pia ๐๐๐To night video zake chafu zingine zinaachiwa hewani na hamna kitu atafanya konde boy๐
Zee zima huna hata akili ya ku reasonKitakachofuata harmonize atashindwa kesi alafu Rayvanny atadai fidia ambayo itampoteza konde mazima.
Hii comment yangu nitakuja kuifufua kibao kikimgeuka konde boy.
Huwezi kumshtaki mtu kwa video ulizojichukua mwenyewe alafu zikasambaa! Lazima mtuhumiwa namba moja awe ni yeye mwenyewe
Watapoteana humu mzee wa chitohori akibananishwaToka day one tunawaambia wanaomshabikia Hamo hawana akili ni mbumbumbu hata management yake imejaa viazi watupu. Walikuwa wanasifia mboo ya Hamo sasa hvi wanalialia tu na V Vanny Boy anavyoupiga mwingi