Dar: Rayvanny afikishwa Kituo cha Polisi

Ndo akajibu mashtka polisi , Yan Kitendo cha kupelekwa tu polisi nimefurahi sana yani [emoji23]
Hakuna kitu kinatokea hakikua foreseen anapambana na akili kubwa. Mpaka kila kitu kinapelekwa mjini haya yote yalitazamwa
 
Harmonize siyo Kiba. Atawapelekaaaaa. Atawapekelekea motooooo. Mwaka huu mpaka mashoga mtajifungua kwa uchungu.

๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ

View attachment 1752830
Mpaka sasa anajua kashikwa wapi ndio maana anaangaika mara nyimbo mara polisi. Tulia utazame mchezo wewe mlupo.
 
Kitakachofuata harmonize atashindwa kesi alafu Rayvanny atadai fidia ambayo itampoteza konde mazima.

Hii comment yangu nitakuja kuifufua kibao kikimgeuka konde boy.
Huwezi kumshtaki mtu kwa video ulizojichukua mwenyewe alafu zikasambaa! Lazima mtuhumiwa namba moja awe ni yeye mwenyewe
 
Menina hana kesi maana yeye hakusambaza. Na alijiwahi kugeuza upepo kuwa victim kama anavyofanya harmo.

Mwijaku wa ajabu sana na anashangaza
Maana yake Mwijaku alimchukua video Menina, ila hii ya Harmonize atasema hizo video zimetokaje kwake? Sababu akikubali alimtumia Paula tayari anakuwa amesambaza.
 
Sasa konde kwann amtumie paula picha za utupu angali akijua paula ni mwanafunzi.. hii ishu inazidi kuwa kubwa, inawashusha sana, inaongeza chuki na kugawa kabisa mashabiki..
Huwa nasikia Paula ni mwanafunzi, hivi anasoma shule gani na yuko kidato cha ngapi?
 
Baba mkwe amemshataki mkwewe, balaa zito hilo
 
Toka day one tunawaambia wanaomshabikia Hamo hawana akili ni mbumbumbu hata management yake imejaa viazi watupu. Walikuwa wanasifia mboo ya Hamo sasa hvi wanalialia tu na V Vanny Boy anavyoupiga mwingi
 
To night video zake chafu zingine zinaachiwa hewani na hamna kitu atafanya konde boy๐Ÿ˜‚
Kuna faili lake na Majizo ni vile watu wanamlindia heshima majizo tu lingeachiwa pia ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Zee zima huna hata akili ya ku reason
sasa nimejichukua video
lakini je nani kazivujisha?
Huoni waliingilia privacy ya mtu?

watu wengine mnatia aibu
 
Toka day one tunawaambia wanaomshabikia Hamo hawana akili ni mbumbumbu hata management yake imejaa viazi watupu. Walikuwa wanasifia mboo ya Hamo sasa hvi wanalialia tu na V Vanny Boy anavyoupiga mwingi
Watapoteana humu mzee wa chitohori akibananishwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ