Mtemi mpambalioto
JF-Expert Member
- Aug 23, 2015
- 3,436
- 7,955
Hakuna cha DP World huyo ni Rostam AziziMheshimiwa Albert Chalamila ambaye ni Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam amepokea msaada wa vitu mbalimbali kutoka taasisi ya DP World Foundation na kukabidhi msaada huo kwa watu wenye uhitaji katika kipindi hiki cha mfungo wa mwezi wa Ramadhan.Msaada huo unaokadiriwa kuwa na thamani ya shilingi za kitanzania milioni 200 ulikabidhiwa kwenye ofisi za Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam zilizopo eneo la Ilala Boma jijini Dar Es Salaam.Msaada huo aliopokea Mheshimiwa Chalamila ni pamoja na mafuta ya kupikia, sukari, unga wa ngano, mchele, na tende.
My Take:
Mwarabu hajawahi kumfamya mweusi kuwa mtu wa maana! ngoja tuone siku za usoni huko
DP World ni genge la akina RostamDP world wanatoa pesa sema hakuna mtu atatoa kiwango kama hicho kirahisi ,hapo wanapiga pesa ndefu ila wanaendelea kuendeleza mahusiano ya kijamii.
Pale bandari kuna pesa acha tu.
Wamelambisha Raia kusanyo la masaa machache katia masaa 24.DP world wanatoa pesa sema hakuna mtu atatoa kiwango kama hicho kirahisi ,hapo wanapiga pesa ndefu ila wanaendelea kuendeleza mahusiano ya kijamii.
Pale bandari kuna pesa acha tu.
Hivi huyu mwarabu anataka nini nchini mwetu! Asidhani mtanzania wa sasa ni yule wa zamani! Hawa jamaa ni wahuni na washenzi!Mheshimiwa Albert Chalamila ambaye ni Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam amepokea msaada wa vitu mbalimbali kutoka taasisi ya DP World Foundation na kukabidhi msaada huo kwa watu wenye uhitaji katika kipindi hiki cha mfungo wa mwezi wa Ramadhan.Msaada huo unaokadiriwa kuwa na thamani ya shilingi za kitanzania milioni 200 ulikabidhiwa kwenye ofisi za Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam zilizopo eneo la Ilala Boma jijini Dar Es Salaam.Msaada huo aliopokea Mheshimiwa Chalamila ni pamoja na mafuta ya kupikia, sukari, unga wa ngano, mchele, na tende.
My Take:
Mwarabu hajawahi kumfamya mweusi kuwa mtu wa maana! ngoja tuone siku za usoni huko
Ndio kwanza kumekucha!Mheshimiwa Albert Chalamila ambaye ni Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam amepokea msaada wa vitu mbalimbali kutoka taasisi ya DP World Foundation na kukabidhi msaada huo kwa watu wenye uhitaji katika kipindi hiki cha mfungo wa mwezi wa Ramadhan.Msaada huo unaokadiriwa kuwa na thamani ya shilingi za kitanzania milioni 200 ulikabidhiwa kwenye ofisi za Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam zilizopo eneo la Ilala Boma jijini Dar Es Salaam.Msaada huo aliopokea Mheshimiwa Chalamila ni pamoja na mafuta ya kupikia, sukari, unga wa ngano, mchele, na tende.
My Take:
Mwarabu hajawahi kumfamya mweusi kuwa mtu wa maana! ngoja tuone siku za usoni huko
Ndio keshaingia...chezea watu wetuHivi huyu mwarabu anataka nini nchini mwetu! Asidhani mtanzania wa sasa ni yule wa zamani! Hawa jamaa ni wahuni na washenzi!
Mwarabu hata mmoja haonekani.
Mheshimiwa Albert Chalamila ambaye ni Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam amepokea msaada wa vitu mbalimbali kutoka taasisi ya DP World Foundation na kukabidhi msaada huo kwa watu wenye uhitaji katika kipindi hiki cha mfungo wa mwezi wa Ramadhan.
Msaada huo unaokadiriwa kuwa na thamani ya shilingi za kitanzania milioni 200 ulikabidhiwa kwenye ofisi za Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam zilizopo eneo la Ilala Boma jijini Dar Es Salaam.
Msaada huo aliopokea Mheshimiwa Chalamila ni pamoja na mafuta ya kupikia, sukari, unga wa ngano, mchele, na tende.
My Take:
Mwarabu hajawahi kumfamya mweusi kuwa mtu wa maana! ngoja tuone siku za usoni huko
Mwarabu wa manelemango. Lakini si tuna wajomba hukooo basi usishangae saana.Huyo mama mwenye Ushungi ndio ofisa wa DP WORLD ?
Haya bhanaMwarabu wa manelemango. Lakini si tuna wajomba hukooo basi usishangae saana.