A
Anonymous
Guest
Mtaa wa Tegeta kwa Ndevu stendi barabara ya kuelekea machinjioni kuna bomba la DAWASA limepasuka tangu mwaka jana, bomba hilo linamwaga maji na kuhatarisha afya usalama hewa wa biashara
======
Mrejesho: Dawasa walifika na kutengeneza kwa kuziba mbomba lililopasuka.
======
Mrejesho: Dawasa walifika na kutengeneza kwa kuziba mbomba lililopasuka.