KERO Dar: Tegeta kwa Ndevu stendi barabara ya kuelekea machinjioni kuna bomba la DAWASA limepasuka hivyo kuhatarisha afya za watu

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
A

Anonymous

Guest
Mtaa wa Tegeta kwa Ndevu stendi barabara ya kuelekea machinjioni kuna bomba la DAWASA limepasuka tangu mwaka jana, bomba hilo linamwaga maji na kuhatarisha afya usalama hewa wa biashara



======

Mrejesho: Dawasa walifika na kutengeneza kwa kuziba mbomba lililopasuka.

 
Mtafute Mbunge wako Dr Askofu Mkuu Mheshimiwa uwakilishe kero yako kwake na itapatiwa ufumbuzi bila kulia lia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…