Dar, the pride of East Africa and Central

REDEEMER.

JF-Expert Member
Joined
Feb 22, 2015
Posts
8,925
Reaction score
14,890

DAR ES SALAAM ni miongoni mwa Majiji katika Bara la Afrika ambayo hutajwa kukua haraka kiuchumi na kuwa kivutio kwa watu wengi ambao hutaka kuutemebelea na kujionea namna mandhari yake ya kupendeza yanavyovutia.

Sasa leo nimetembelea katikati ya Jiji hilo na kufanikiwa kuzinasa picha hizi 10 zinazoonesha mandhari ya baadhi ya mitaa ya Posta.





















 
Sawa linakua kwa kasi. Tuishauri serikali uwaadhibu watu wanaotupa taka ovyo na hasa mifuko ya plastiki. Na iwe marufuku watu kupita kwenye bustani za barabarani. Hapo tuta pendezesha mji huu muhimu. Angalia bustani za lugalo jeshini ni amri na raha. Au pale TCRA house SAM nojuma road
 
Rekebisha basi. Inafaa iwe, Dar, the pride of East and Central Africa. Si ....and Central. Cental what? Central Police Station? Huwezi iacha 'hanging' ivo kwa kiingereza. Makooosaaaah!πŸ˜€
 
huyu jamaa huwa anachekesha sana...kule alipigwa kichapo sasa amekuja kufungua uzi huku...πŸ˜€πŸ˜€ jamaa hana jipya
 
Msakulu ndio nani jombaa
Lazima uwe unamfahamu jombaa. Ni jamaa flani hivi, kule vijijini yaani tukio likifanyika inabaki tu yeye ndo anaitwa, asimulie wakuu au maripota wakija, hata kama kila mtu alishuhudia. Huwa ana mvi kiasi afu meno kadhaa huwa hayapo lakini usije ukadhani ni mzee. Huwa akitembea anadunda na anaona yote! Aka eyewitness aka spokesman. Huyo ndo Msakulu, nadhani sasa umemuelewa.
 
Reactions: Oii
Jamaa wewe muongo hizi picha kapiga millardayo bwana, hujatembelea katikati ya jiji sema source ya picha ni millardayo.com
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…