Dar: vyombo vya habari vyatembelea pori la akiba la Pande

Dar: vyombo vya habari vyatembelea pori la akiba la Pande

Pfizer

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2021
Posts
590
Reaction score
807
IMG-20220911-WA0005.jpg

Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi Mamlaka ya Uhifadhi wa Wanyamapori Tanzania TAWA Meja Jenerali Hamisi Semfuko akizungumza na wahariri mbalimbali wa vyombo vya habari katika pori la akiba la Pande walipotembelea katika pori hilo ili kuona shughuli mbalimbali za uhifadhi zinazofanywa na TAWA kutoka kushoto ni Mjumbe wa Bodi hiyo Jane Mihanji, Kaimu Kamishna wa Uhifadhi TAWA Mabula Misungwi Nyanda na kulia ni Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Tanzania TEF Bw. Deodatus Balile
 
Back
Top Bottom