LGE2024 Dar: Wagombea wa Serikali za Mitaa CHADEMA, Wagoma kuondoka kwa DC Ubungo hadi wajue hatima yao

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

figganigga

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
25,724
Reaction score
55,906
Wagombe wa Chadema katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa katika Wilaya ya Ubungo wametia kambi katika ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Ubungo mpaka jioni hii. Hawatatoka hapo mpaka wamejua hatma ya rufaa zao.
Your browser is not able to display this video.
 
Sasa DC si mteule wa mwenyekiti wa Chama Tawala?
Yaani wanachama wa chama pinzani wanamsikilizia mteule wa mwenyekiti wa chama tawala atoe hatma yao?
Huu uatani huu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…