Dar: Wanne mbaroni kwa Uchochezi wa Kidini!

Wachochezi au wasema kweli? Kuweni wazi ukweli hautakiwi! Ujinga ndo amani au sio? Haya bhanaa!

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums

aliye wakamata ni Kova ambaye ni muislam.bora mumekamatana wenyewe kwa vile munajuwana.
 
Wachochezi au wasema kweli? Kuweni wazi ukweli hautakiwi! Ujinga ndo amani au sio? Haya bhanaa!

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums

Mngekuwa mnapenda ukweli mngeshaambiana kuwa kumlala mtoto wa miaka 9 ni ubakaji
 
Mje na hapa msikitini kwetu vingunguti tuwachape karate na apakati ..
 
Wachochezi au wasema kweli? Kuweni wazi ukweli hautakiwi! Ujinga ndo amani au sio? Haya bhanaa!

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums

Hakika wasema kweli na wasemao kweli ndio waovu, thama hizi. Waizi wakubwa wa mahela ya wavuja jasho HAWAKAMATWI. Na mkamataji wa leo nae atakuja kamatwa na kamanda mungu.
 
Aliulizwa nyerere, vipi mtetezi wa amani, mbona unafuga wana ANC, FRELIMO? Jibu lake, peace does not mean the absence of war!! Sasa yeye ndio mchochezi namba moja wa amani. Kama alikuwa msema kweli, bac wale wote waelimishaji na wasema kweli waachwe huru. Labda sio mfumo cross.
 
Hongera sana jeshi la polisi...tusiache kuwachukulia watu wanaotaka tusambaratike hatua madhubuti kama tunaipenda amani yetu
 
Wachochezi au wasema kweli? Kuweni wazi ukweli hautakiwi! Ujinga ndo amani au sio? Haya bhanaa!

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums

musa hapo hakuna ukweli wowote let me tell u something our God is not so week that we need to keel people for him
 
Wachochezi au wasema kweli? Kuweni wazi ukweli hautakiwi! Ujinga ndo amani au sio? Haya bhanaa!

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums

Tunatengeneza taifa si kwa ajili yetu tu,bali kwa vizazi vijavyo. na kamwe tusijengee wanetu na tabia ya kutambua kuwa kuua hata kwa upanga ni jambo la kawaida na ni thawabu toka kwa muumba kwani kwa kufanya vile ni si tu kuifanya nchi isitawalike,bali pia nchi hii haitakalika. ndipo kutakapokuwa ni kilio cha kusaga meno!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…