Herbalist Dr MziziMkavu JF-Expert Member Joined Feb 3, 2009 Posts 42,872 Reaction score 34,363 Sep 22, 2015 #1 Dar yashika nafasi ya sita maambukizi ya VVU Afrika Wakati kasi ya maambukizi mapya ya Ukimwi ikipungua nchini, tafiti zimebainisha Jiji la Dar es Salaam linashikilia nafasi ya sita miongoni mwa majiji yaliyoathirika zaidi barani Afrika. Mwananchi Read more Attachments hiv-public-.png 49.7 KB · Views: 383
Dar yashika nafasi ya sita maambukizi ya VVU Afrika Wakati kasi ya maambukizi mapya ya Ukimwi ikipungua nchini, tafiti zimebainisha Jiji la Dar es Salaam linashikilia nafasi ya sita miongoni mwa majiji yaliyoathirika zaidi barani Afrika. Mwananchi Read more
Bujibuji Simba Nyamaume JF-Expert Member Joined Feb 4, 2009 Posts 76,107 Reaction score 160,001 Sep 23, 2015 #2 nasikia Masaki ndio makao makûû ya vvu
Google Diggers JF-Expert Member Joined Aug 29, 2015 Posts 944 Reaction score 1,138 Sep 23, 2015 #3 ndgu mzizimkavu, heshima juu, nilikuwa za Sana. Hukuonekana Sana jikwaani, pole na zoez la kampeni. usijali Rais atapita tu. swali nauliza hpo kooni mgonjwa wa vvu anaonekana na tatizo gani??
ndgu mzizimkavu, heshima juu, nilikuwa za Sana. Hukuonekana Sana jikwaani, pole na zoez la kampeni. usijali Rais atapita tu. swali nauliza hpo kooni mgonjwa wa vvu anaonekana na tatizo gani??
N Nando JF-Expert Member Joined Oct 5, 2014 Posts 4,849 Reaction score 2,059 Sep 23, 2015 #4 me nkajua ya 3??? kumbe hivo basi wameelimika
Herbalist Dr MziziMkavu JF-Expert Member Joined Feb 3, 2009 Posts 42,872 Reaction score 34,363 Sep 23, 2015 Thread starter #5 zanzibariani said: ndgu mzizimkavu, heshima juu, nilikuwa za Sana. Hukuonekana Sana jikwaani, pole na zoez la kampeni. usijali Rais atapita tu. swali nauliza hpo kooni mgonjwa wa vvu anaonekana na tatizo gani?? Click to expand...
zanzibariani said: ndgu mzizimkavu, heshima juu, nilikuwa za Sana. Hukuonekana Sana jikwaani, pole na zoez la kampeni. usijali Rais atapita tu. swali nauliza hpo kooni mgonjwa wa vvu anaonekana na tatizo gani?? Click to expand...