KERO Daraja bovu Kilindi kijiji cha Kwekivu

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
A

Anonymous

Guest
Hili daraja lipo Kilindi, katika kijiji cha Matale na Kwekivu.

Daraja hili ni bovu limearibiwa na mvua na mamlaka zipo kimya halijakarabatiwa kabisa na ni adha kwa watumiaji wa njia hii

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…