Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
R.I.P CHUMAJPMKwasasa Daraja La Kigongo ~Busisi/Daraja La J Magufuli Linazidi Kupendeza Na Ama Kwahakika Suala La Uvukaji Litakuwa La Muda Mfupi Sana View attachment 2808025View attachment 2808026View attachment 2808027
Kazi inaendelea lakini.R.I.P CHUMAJPM
kwa mwendo wa kinyongaKazi inaendelea lakini.
mwendo si haba! Inaenda vile kwa tahadhari maana si mwanzilishi so umakini mkubwa unahitajika ktk kuendeleza kilichoachwa bila mafungu wenzeshi hadi kukamilika kwakekwa mwendo wa kinyonga
CCM ilikuwepo awamu zote, ni awamu moja tuu ndo imefanya makubwa.HILI DARAJA NITALIFUNGUA KWA mbio za MCHAKAMCHAKA mpaka ng'ambo WALAHI ccm ni makini sana kwa hakika
Zote zimefanya vyema kulingana na ilani ya chama chao wakati huoCCM ilikuwepo awamu zote, ni awamu moja tuu ndo imefanoya makubwa.
Sasa wa ukerewe to bunda wanaweza kukaa masaa 12 bila kuvuka kama mvua zikiwa zinanyesha muda wote huoNilishawahi kukaa masaa matatu basibiri Ferry apo Busisi, huu Mradi ni game changer.
umakini wao ulianza kitambo mkuu nafikiri toka tanganyika african associationCCM ilikuwepo awamu zote, ni awamu moja tuu ndo imefanoya makubwa.
Maendeleo kwenye huo upande wa pili yatapelekwa kwa haraka sana!Kwasasa Daraja La Kigongo ~Busisi/Daraja La J Magufuli Linazidi Kupendeza Na Ama Kwahakika Suala La Uvukaji Litakuwa La Muda Mfupi Sana View attachment 2808025View attachment 2808026View attachment 2808027