Daraja La Kigongo ~ Busisi

Daraja La Kigongo ~ Busisi

Kennedy

JF-Expert Member
Joined
Dec 28, 2011
Posts
54,894
Reaction score
64,043
Kwasasa Daraja La Kigongo ~Busisi/Daraja La J Magufuli Linazidi Kupendeza Na Ama Kwahakika Suala La Uvukaji Litakuwa La Muda Mfupi Sana
IMG-20231108-WA0008.jpg
IMG-20231108-WA0007.jpg
IMG-20231108-WA0006.jpg
 
Kituo kinachofuata ni daraja la Samia from ukerewe to kibara bunda
 
HILI DARAJA NITALIFUNGUA KWA mbio za MCHAKAMCHAKA mpaka ng'ambo WALAHI ccm ni makini sana kwa hakika
 
kwa mwendo wa kinyonga
mwendo si haba! Inaenda vile kwa tahadhari maana si mwanzilishi so umakini mkubwa unahitajika ktk kuendeleza kilichoachwa bila mafungu wenzeshi hadi kukamilika kwake
 
Nilishawahi kukaa masaa matatu basibiri Ferry apo Busisi, huu Mradi ni game changer.
Sasa wa ukerewe to bunda wanaweza kukaa masaa 12 bila kuvuka kama mvua zikiwa zinanyesha muda wote huo
 
Back
Top Bottom