Daraja la Manzese kivutio cha ndani kila anayetoka mkoa lazima kupiga picha hapo

chizcom

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2016
Posts
8,680
Reaction score
18,035
Miaka ya 90 watu kutoka mikoani ilikuwa kivutio kikubwa sana cha wageni kutoka pande zote mkoani kuja kupiga picha.

Ilikuwa rahaa kwa watu wa mkoa wataonekanaje kwamba wapo Dar.



Ila hata wa mjini tumejikuta tukipiga picha kwenye madaraja mapya yanayojengwa mijini, muanzilishi alikuwa daraja la Manzese.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…