Darasa Huru: Jifunze kwa nini jezi nyeupe na nyekundu ni bora kuliko za njano, kijani na nyeusi

Darasa Huru: Jifunze kwa nini jezi nyeupe na nyekundu ni bora kuliko za njano, kijani na nyeusi

SAYVILLE

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2010
Posts
7,895
Reaction score
12,975
Kwenye suala la jezi, moja ya kitu cha kuzingatia unapoangalia uwezo wa jezi kuhimili joto siyo tu material iliyotumika kama baadhi ya watu wanavyodhani lakini pia rangi. Hii ni kwa sababu rangi zina uwezo tofauti wa kuhimili au kupitisha joto.

Rangi nyeupe ndiyo rangi ya kwanza ambayo ina uwezo mkubwa wa kuzuia joto kupita. Hii inasaidia wachezaji wasipate moja kwa moja joto la jua maana linagonga kwenye jezi bila kupenya. Angalia mechi ambazo Simba inavaa jezi nyeupe utaona jezi zinaloana kuliko kawaida. Hii ina msaada wa kutunza energy ya wachezaji.

Rangi nyeusi ndiyo rangi ya kwanza inayooongoza kupenyeza joto kupita katika nguo. Hii ina maana katika mazingira yetu ya joto, ukivalisha wachezaji wako rangi nyeusi unawatesa maana joto la jua linapenya moja kwa moja kwenye jezi zao na kuifanya miili yao ihitaji kupambane zaidi ili kutengeneza energy anayohitaji mchezaji.

Mtiririko wa rangi kulingana na uwezo wake wa kuzuia joto kupita katika nguo uko hivi (kuanzia yenye uwezo sana hadi yenye uwezo mdogo):
1. Nyeupe
2. Nyekundu
3. Machungwa
4. Njano
5. Kijani
6. Blue
7. Nyeusi

Ndiyo maana duniani kote utaona timu nyingi zinavaa jezi nyeupe na/au nyekundu zaidi na chache saaana zinavaa njano, kijani au nyeusi. Kuna sababu nyingine lakini hii ni mojawapo.

Kwa maana hiyo, Yanga kwa upeo mdogo wa viongozi wao kuanzia kihistoria hadi leo wamerithishana, ilienda kuchagua rangi zote ambazo zinaongoza kwa uwezo mdogo wa kuzuia joto kupita. Halafu bado wanashangaa kwa nini timu yao imekuwa haifanyi vizuri miaka nenda rudi.

Simba kihistoria na mpaka leo ni klabu inayoongozwa na watu wenye upeo wa hali ya juu sana. Yanga kihistoria na mpaka leo inaongozwa na kuwa na mashabiki ambao tuseme tu kwa kulinda heshima yao, upeo wao ni wa kawaida.

Leo Deportivo la Utopolo nimewasanua, basi msibaki tena na umbumbumbu wenu.
 
IMG_20241230_193926_542.jpg
 
Kwenye suala la jezi, moja ya kitu cha kuzingatia unapoangalia uwezo wa jezi kuhimili joto siyo tu material iliyotumika kama baadhi ya watu wanavyodhani lakini pia rangi. Hii ni kwa sababu rangi zina uwezo tofauti wa kuhimili au kupitisha joto.

Rangi nyeupe ndiyo rangi ya kwanza ambayo ina uwezo mkubwa wa kuzuia joto kupita. Hii inasaidia wachezaji wasipate moja kwa moja joto la jua maana linagonga kwenye jezi bila kupenya. Angalia mechi ambazo Simba inavaa jezi nyeupe utaona jezi zinaloana kuliko kawaida. Hii ina msaada wa kutunza energy ya wachezaji.

Rangi nyeusi ndiyo rangi ya kwanza inayooongoza kupenyeza joto kupita katika nguo. Hii ina maana katika mazingira yetu ya joto, ukivalisha wachezaji wako rangi nyeusi unawatesa maana joto la jua linapenya moja kwa moja kwenye jezi zao na kuifanya miili yao ihitaji kupambane zaidi ili kutengeneza energy anayohitaji mchezaji.

Mtiririko wa rangi kulingana na uwezo wake wa kuzuia joto kupita katika nguo uko hivi (kuanzia yenye uwezo sana hadi yenye uwezo mdogo):
1. Nyeupe
2. Nyekundu
3. Machungwa
4. Njano
5. Kijani
6. Blue
7. Nyeusi

Ndiyo maana duniani kote utaona timu nyingi zinavaa jezi nyeupe na/au nyekundu zaidi na chache saaana zinavaa njano, kijani au nyeusi. Kuna sababu nyingine lakini hii ni mojawapo.

Kwa maana hiyo, Yanga kwa upeo mdogo wa viongozi wao kuanzia kihistoria hadi leo wamerithishana, ilienda kuchagua rangi zote ambazo zinaongoza kwa uwezo mdogo wa kuzuia joto kupita.

Simba kihistoria na mpaka leo ni klabu inayoongozwa na watu wenye upeo wa hali ya juu sana. Yanga kihistoria na mpaka leo inaongozwa na kuwa na mashabiki ambao tuseme tu kwa kulinda heshima yao, upeo wao ni wa kawaida.

Leo Deportivo la Utopolo nimewasanua, basi msibaki tena na umbumbumbu wenu.
Kwa akili yako ,Timu zote zinacheza juani
 
Halafu kuna watu wakiitwa mbumbumbu, eti wanakasirika.
Hawatakiwi kukasirika bali kushangaa inakuwaje timu yao ina miaka zaidi ya 60 ila hawajui wanavaa jezi zinazochosha wachezaji. Imagine na jua lote hili la Tanzania unauziwa nguo nyeusi au ya kijani kwa 50,000 ili ikuunguze vizuri juani.
 
Hivi Azam Rangi ya Jezi zao zimewasaidia nini?🤔
Kwenye suala la jezi, moja ya kitu cha kuzingatia unapoangalia uwezo wa jezi kuhimili joto siyo tu material iliyotumika kama baadhi ya watu wanavyodhani lakini pia rangi. Hii ni kwa sababu rangi zina uwezo tofauti wa kuhimili au kupitisha joto.

Rangi nyeupe ndiyo rangi ya kwanza ambayo ina uwezo mkubwa wa kuzuia joto kupita. Hii inasaidia wachezaji wasipate moja kwa moja joto la jua maana linagonga kwenye jezi bila kupenya. Angalia mechi ambazo Simba inavaa jezi nyeupe utaona jezi zinaloana kuliko kawaida. Hii ina msaada wa kutunza energy ya wachezaji.

Rangi nyeusi ndiyo rangi ya kwanza inayooongoza kupenyeza joto kupita katika nguo. Hii ina maana katika mazingira yetu ya joto, ukivalisha wachezaji wako rangi nyeusi unawatesa maana joto la jua linapenya moja kwa moja kwenye jezi zao na kuifanya miili yao ihitaji kupambane zaidi ili kutengeneza energy anayohitaji mchezaji.

Mtiririko wa rangi kulingana na uwezo wake wa kuzuia joto kupita katika nguo uko hivi (kuanzia yenye uwezo sana hadi yenye uwezo mdogo):
1. Nyeupe
2. Nyekundu
3. Machungwa
4. Njano
5. Kijani
6. Blue
7. Nyeusi

Ndiyo maana duniani kote utaona timu nyingi zinavaa jezi nyeupe na/au nyekundu zaidi na chache saaana zinavaa njano, kijani au nyeusi. Kuna sababu nyingine lakini hii ni mojawapo.

Kwa maana hiyo, Yanga kwa upeo mdogo wa viongozi wao kuanzia kihistoria hadi leo wamerithishana, ilienda kuchagua rangi zote ambazo zinaongoza kwa uwezo mdogo wa kuzuia joto kupita. Halafu bado wanashangaa kwa nini timu yao imekuwa haifanyi vizuri miaka nenda rudi.

Simba kihistoria na mpaka leo ni klabu inayoongozwa na watu wenye upeo wa hali ya juu sana. Yanga kihistoria na mpaka leo inaongozwa na kuwa na mashabiki ambao tuseme tu kwa kulinda heshima yao, upeo wao ni wa kawaida.

Leo Deportivo la Utopolo nimewasanua, basi msibaki tena na umbumbumbu wenu.
 
I'm sorry, but I'm afraid this post by this poor fellow is one of the most useless I've ever seen in JF.
 
Hivi Azam Rangi ya Jezi zao zimewasaidia nini?🤔
Sijasema rangi za jezi ndiyo mwarobaini wa mafanikio ya timu bali nimesema zina mchango wake ambao dunia nzima inatambua.

Kumbuka kuna sababu nyingine za mchango wa rangi za jezi katika mafanikio ya timu ila uzi huu umeamua kufocus na eneo moja. Siku nyingine nitapanua huu mjadala uangalie maeneo mengine.

1000048193.jpg

1000048194.jpg
 
Back
Top Bottom