Darasa la kupigilia pamba kijanja

Navaa kila kitu ujue.......
Km jina lako lazima uonekane Pretty girl ...hata mimi navaa nguo za sina zote kulingana na muda na mazingira au sehemu
Mavazi humpa mtu muonekano hasi au chanya mbele ya jamii
 
Hatarii hatarii
 
Iko poa sana
 
kwa hiyo hiyo mivazi ni kwa casual tu au na kwa watu wa maofisini pia..
 
Mimi sina sheria katika uvaaji....I wear clothes just to cover nakedness....madoido yote ya nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…