Darasa la saba na hesabu za kuchagua, tutafika lini?

MAKOLE

JF-Expert Member
Joined
Feb 5, 2012
Posts
618
Reaction score
280
Serikali imeamua kuanzisha mfumo mpya wa utahini wa elimu ya msingi ambapo masomo yote sasa, mpaka Hisabati itakuwa ni mtihani wa majibu ya kuchagua. Wataalamu watakaoandaliwa katika mfumo huu watakuwa ni wataalamu wa aina gani? Kwa maana kuanzia kidato cha 1 watapata shida kuweza kukokotoa hesabu kwani hawana msingi imara wa somo hilo kwani aina hii inasababisha mwanafunzi kuotea jibu. Tutafika?
 
Mungu wangu sirudi huko Tz hadi wanangu wamalize angalau shahada ya kwanza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…