Deo Corleone
JF-Expert Member
- Jun 29, 2011
- 17,006
- 13,281
mods iacheni hapa hapa. mpwa wangu karudi nyumbani na kulalamika kuwa wamefanya mtihani wa darasa la 4 wa kifaransa wakati hawajawahi kusoma hata mara moja. hivi wakifeli tutawalaumu hawa watoto? kwanini tumeamua kuwaachia wapuuzi waharibu elimu?