Bishop Hiluka
JF-Expert Member
- Aug 12, 2011
- 7,147
- 14,699
Darasa lolote (hasa vyuoni) lazima liwe na wanafunzi wafuatao:
1. Mrembo wa darasa.
2. Playboy/playgirl - Hawezi kutembea na msichana/mvulana mmoja mara mbili.
3. Group ya marafiki watatu. Kila mara wako pamoja.
4. Mtu mwenye maswali ya kuudhi/kukera.
5. Msongolist kimeo - Huyu huwa anasoma sana but hana bahati ya kufanya vizuri. Yani msuli tembo lakini matokeo sisimizi.
6. Mlafi - Huyu huwa hakatai offer.
7. Mtoro wa kudumu - Haji darasani hata kama hana sababu.
8. Mchelewaji wa kudumu - Anakuja kipindi kiko katikati au kinakaribia kuisha.
9. Miss/Mr. Misifa - kila mara ataeleza jinsi nyumbani kwao walivyo matajiri.
10. Less talkative - lakini kiwembe. Jamaa mkimya lakini unakuta ametembea na karibu wasichana 15 hapo class.
11. Handsome boy - Huyu hana mpango na wanawake.
12. Chips addicted - Hawa wanaweza kula chips asubuhi mchana na jioni. Jumatatu hadi Jumatatu.
13. Back benchers - Hawa huwa watundu sana na ni watu wa jokes. Huwa hawajibu swali, laini wanasubiri wakati wa kushangilia waongeze bezi.
14. Wambea - Hawapitwi na kitu darasani na washazoea kufeli.
15. Mchungaji/Mtumishi wa Mungu,
16. Waimbaji/Wasanii
17.Walevi
18. Mabishoo.
19. Team popo - Hawa wawe na hela wasiwe na hela wanakesha club
20. Mwenye aibu kusimama mbele za watu. Wakati wa Presentation anakimbilia kusimama nyuma ya wenzie
21. Viherehere - Hawa mara nyingi hutokea kupendwa sana na waalimu.
22. Wanaosoma ili kushindana kwenye GPA.
23. Kupe - Huyu ‘boom’ likitoka atawaganda wenzie hadi ziishe, halafu yeye anaanza kula zake alone.
24. Wise man/woman - Huyu huwa ni mtu anayeaminika na kila mtu darasani. Hutumika sana kushauri pale mambo yanapoenda mrama. Mara nyingi huwa ni mtu mzima.
25. Mpenda supu – Yeye hata ya nyani atakunywa tu.
26. Fix man - Huyu atakuomba jero, akafuatilie dili la milioni kumi town, kumbe hana hela ya chai.
27. Photocopy machine - Huyu ukimuonesha majibu kwenye mtihani anaweza kucopy hadi jina lako.
Usiposema wewe uko namba ngapi mwingine atakusema… 😀 🙂 😀 🙂 😀 🙂
1. Mrembo wa darasa.
2. Playboy/playgirl - Hawezi kutembea na msichana/mvulana mmoja mara mbili.
3. Group ya marafiki watatu. Kila mara wako pamoja.
4. Mtu mwenye maswali ya kuudhi/kukera.
5. Msongolist kimeo - Huyu huwa anasoma sana but hana bahati ya kufanya vizuri. Yani msuli tembo lakini matokeo sisimizi.
6. Mlafi - Huyu huwa hakatai offer.
7. Mtoro wa kudumu - Haji darasani hata kama hana sababu.
8. Mchelewaji wa kudumu - Anakuja kipindi kiko katikati au kinakaribia kuisha.
9. Miss/Mr. Misifa - kila mara ataeleza jinsi nyumbani kwao walivyo matajiri.
10. Less talkative - lakini kiwembe. Jamaa mkimya lakini unakuta ametembea na karibu wasichana 15 hapo class.
11. Handsome boy - Huyu hana mpango na wanawake.
12. Chips addicted - Hawa wanaweza kula chips asubuhi mchana na jioni. Jumatatu hadi Jumatatu.
13. Back benchers - Hawa huwa watundu sana na ni watu wa jokes. Huwa hawajibu swali, laini wanasubiri wakati wa kushangilia waongeze bezi.
14. Wambea - Hawapitwi na kitu darasani na washazoea kufeli.
15. Mchungaji/Mtumishi wa Mungu,
16. Waimbaji/Wasanii
17.Walevi
18. Mabishoo.
19. Team popo - Hawa wawe na hela wasiwe na hela wanakesha club
20. Mwenye aibu kusimama mbele za watu. Wakati wa Presentation anakimbilia kusimama nyuma ya wenzie
21. Viherehere - Hawa mara nyingi hutokea kupendwa sana na waalimu.
22. Wanaosoma ili kushindana kwenye GPA.
23. Kupe - Huyu ‘boom’ likitoka atawaganda wenzie hadi ziishe, halafu yeye anaanza kula zake alone.
24. Wise man/woman - Huyu huwa ni mtu anayeaminika na kila mtu darasani. Hutumika sana kushauri pale mambo yanapoenda mrama. Mara nyingi huwa ni mtu mzima.
25. Mpenda supu – Yeye hata ya nyani atakunywa tu.
26. Fix man - Huyu atakuomba jero, akafuatilie dili la milioni kumi town, kumbe hana hela ya chai.
27. Photocopy machine - Huyu ukimuonesha majibu kwenye mtihani anaweza kucopy hadi jina lako.
Usiposema wewe uko namba ngapi mwingine atakusema… 😀 🙂 😀 🙂 😀 🙂