Na ukinibeep tu nakupigiaa,one thing let me make it clear, blah blah blah staki kusikiaa..Anaeota mapembe mwongezee mkia...
Sio Simba sio chui sio mamba haaaaLet me make one thing clear. Blah blah blah sitaki kusikia
Kabisa mkuu h !kwa mfano msanii wetu wa muziki wa afro regae jhiko man anavyoheshimika nje lakini hapa hatumtambuiUmenena mkuu. Kuna wasanii ambao wanaudai muziki. Darasa alikuwa mmoja wao
Ngozi yangu inatosha kujigambaSio Simba sio chui sio mamba haaaa
nyimbo za nyuma ni nzuri mno, tofauti hii misitari iliyoungwaungwaDreamboy watu wamechoka Na blah blah panga poi,maisha magumu,pesa haizinguki weka muziki tucheze,nchi ngumu, sijui wa viwanda Au Ruanda hatutaki maneno ya kanga
nyimbo za nyuma ni nzuri mno, tofauti hii misitari iliyoungwaungwa
Namchukiaje Mtu Sikuwahi Kumfahamu? Acha Kusinzia Na Fegi Dogo
Jf huwa inanishinda hapa tu, kufukua makaburi😎😎😎Kaburi.....kula unga
Amejificha wapi sijui.Huyu msanii ninaye mpenda sana siku hizi kapotea jamani anayejua alipo naomba anijuze aisee maana hajawahi kuniangusha.
Sent using Jamii Forums mobile app