Darassa anajua sana kufanya interview na yuko focused

Darasa namkubali ila ameonyesha udhaifu alipoulizwa anamkubali msanii gani akajitaja mwenyewe means hakubali kazi za wenzie.

Pili naomba kuuliza hivi salama ana mwanaume? Ameolewa? Ameshawahi kuzaa?
 
Darasa namkubali ila ameonyesha udhaifu alipoulizwa anamkubali msanii gani akajitaja mwenyewe means hakubali kazi za wenzie.

Pili naomba kuuliza hivi salama ana mwanaume? Ameolewa? Ameshawahi kuzaa?
Yupo sahihi kabisaaa, hata Vanessa aliwahi kuulizwa akajitaja mwenyewe. Yeye n msanii lazma ajitaje anajikubali yeye.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Darasa namkubali ila ameonyesha udhaifu alipoulizwa anamkubali msanii gani akajitaja mwenyewe means hakubali kazi za wenzie.

Pili naomba kuuliza hivi salama ana mwanaume? Ameolewa? Ameshawahi kuzaa?
Katumia busara ...hakutaka kutumika kama daraja La kutengeneza mabeef ya kijinga na u-team

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Darasa namkubali ila ameonyesha udhaifu alipoulizwa anamkubali msanii gani akajitaja mwenyewe means hakubali kazi za wenzie.
ila yupo poa sana
anakwambia hana cha kuongea kwahiyo anasalimia tuu then anakaa kusiliza mpk mweyeji wake afike, haha hana wenge
 
Darasa namkubali ila ameonyesha udhaifu alipoulizwa anamkubali msanii gani akajitaja mwenyewe means hakubali kazi za wenzie.

Pili naomba kuuliza hivi salama ana mwanaume? Ameolewa? Ameshawahi kuzaa?
Binafsi alipojibu hilo swali nilimuelewa sana..Kwanza alisema kwa Mziki anaofanya na Changamoto alizopitia ana kila sababu ya kusema Darasa ni bora..

Nakumbuka hapa aliwataja hadi Master J, Majani, na Ruge.. Na akaeleza namna gani alipata ugumu kuonana na hawa watu..

Niseme tu.. Darasa acheni ajiite Darasa.. ile interview ya jana inabaki kuwa bora kwangu.. Mwingine ninaye msubiria ni Dogo janja na Dimpoz. Nao wanajua kujieleza sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jana hiyohiyo nikasikiliza interview ya Ali kiba, akijibu swali mpaka amaliza unakuwa umeshasahau swali lilikuwa linahusu nn.
 
We unafikiri mtu hadi anaitwa Darasa ni mchezo mchezo?
Kuna wengine dakika ya pili ya mahojiano anaanza kupaniki na vingereza mdiliko vya yu noo mi ai noo yu.
Tupa jiti hiyo ni ganja tu mwamba, Darasa bila elimu mambo ni bampa to bampa/

Hiyo verse kaichora unju

Btw nikki kwenye interview yuko vizuri sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…