Darassa muziki bado una hit au ndio umeishiwa

GREAT NAME

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2016
Posts
1,078
Reaction score
1,718
Miezi kadhaa imepita tangu msanii darassa aachie hit song ya muziki ft ben pol,tofauti na tulivyozoea ngoma mfululizo naona darassa katulia sijui ndio muziki bado ina hit au kaishiwa.
 
Mbona ali kiba anakaribia miez 7au 8 hajatoa wimbo na si sikii habari ya kuwa kaishiwa?
Na Darassa atakuwa anafanya hivo ili kuacha wimbo usikike sanaa, then ana bandika kitu ingine so ni sawa tu.
 
Sasa hivi ni moyo usukuma damu na si vingine

Upande wa pili yupo mgogo ben pol na kitu phone

Muziki upumzike kwanza
 
Miezi kadhaa imepita tangu msanii darassa aachie hit song ya muziki ft ben pol,tofauti na tulivyozoea ngoma mfululizo naona darassa katulia sijui ndio muziki bado ina hit au kaishiwa.
Gotta calculations
 
Ngoma inamiezi minne tu na huku ngoma bado inapigwa kama kawa........
 
Miziki ya siku izi haidumu hata kwa miezi sita sijui tunaenda mbele au twarudi nyuma.....
 
Tuache utani muziki ya darasa bado inabamba mbaya,na sijui itakuja kuvunjwa na nani?maana zimetoka ngoma nyingi lakini hazisikiki kabisa licha ya mbeleko
 
Roho ya kwanini. Roho ya korosho. Kazopata. Kazoringa. Kazozenga!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…