Mwambie darasa kuna wale madereva walio kamatwa anawasaidiaje
Vipi kajiandae ,mbona mnashindwa kulinganisha mziki na nyimbo za kiba [emoji3] [emoji3] [emoji3]Muziki ndio habari ya mjini,kokoro mwisho tandale [emoji108]
Kazi ya mahakama ila kukiwa na fine alipe binafsi nimeutafuta ule wimbo na kumjua vyema Darassa baada ya lile tukio. Japo wamefanya jambo la kipuuzi lina matokeo makubwa chanya kwa muziki wake.Mwambie darasa kuna wale madereva walio kamatwa anawasaidiaje
kaogee hennesy popote ulipo nakuja lipa mimiMuziki ndio habari ya mjini,kokoro mwisho tandale [emoji108]
bora tu ubaki hospitalini manake mmmh mziki na madoctr wap na wapHuu wimbo ufungiwe maana madereva kidogo wauwe watu
Level ziko juu ndo maana wanashindwa.Vipi kajiandae ,mbona mnashindwa kulinganisha mziki na nyimbo za kiba [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Sio kweliMuziki ndio habari ya mjini,kokoro mwisho tandale [emoji108]
Muziki ndio habari ya mjini,kokoro mwisho tandale [emoji108]
Mwambie darasa kuna wale madereva walio kamatwa anawasaidiaje