Dare if you can. This is the tallest building in East and Central Africa kissing the sky.

Rotana hotel wanafungua Sept Ni miez mitatu imebaki,hamuwez maliza izo nyumba mwaka huu nyie
Huu mwaka ni very possible,
Na mkimaliza hizo gorofa mko na zingine mnajenga?
Na how comes all your tall buildings are built by the government?
 
Siku likishuka mtalia na kusaga meno,na hivi mmejengewa na mchina,lifespan yake hata 20 halitazidi.
 
Siku likishuka mtalia na kusaga meno,na hivi mmejengewa na mchina,lifespan yake hata 20 halitazidi.

You are just a bad example of the good people of Danganyika
 
Huu mwaka ni very possible,
Na mkimaliza hizo gorofa mko na zingine mnajenga?
Na how comes all your tall buildings are built by the government?
Zilikua priority za mifuko ya kijamii kuwekeza kwenye nyumba ndefu back then, nowadays gov is stressing more on infrastructures ,some ar now investing in sugar industries and others Hii ni kulingana na sera zinavyobadilika
 
Zilikua priority za mifuko ya kijamii kuwekeza kwenye nyumba ndefu back then, nowadays gov is stressing more on infrastructures ,some ar now investing in sugar industries and others Hii ni kulingana na sera zinavyobadilika
Yeah mmekuwa na boom ya highrise buildings.
But your street plannings hazinifurahishi. Government should work on those city roads
 
Yeah mmekuwa na boom ya highrise buildings.
But your street plannings hazinifurahishi. Government should work on those city roads
Utafrahi tu kazi zinazofanywa sahv Ni kubwa kuliko...
 
Kama hayo majengo yanakiss sky, Na Buji Khalifa itakuwaje????
 
nyie kunguni wa kenyata mnakuja kututisha kwa vipicha picha vyenu,,eti nyie funza,,,

Acheni dharau na ushamba,,hayo majengo yamejaa hapa bongo,,njooni basi myapige picha mrushe kwenye media na ushamba wenu nyang'au nyie,,
 
nyie kunguni wa kenyata mnakuja kututisha kwa vipicha picha vyenu,,eti nyie funza,,,
Acheni dharau na ushamba,,hayo majengo yamejaa hapa bongo,,njooni basi myapige picha mrushe kwenye media na ushamba wenu nyang'au nyie,,
ah aah... sio kwa uchafu ule wa Manzese, Bugruni, Mwananyamala na Mbagala
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…