Dark days 17/03/20...

Happ aliyekuepo muda mrefu ktk kampuni toka 19s Ni wazira na i mkuchika

Born town show zake siyo za hovyo ila Kam amepita Happ afanye namna yeyote ile amtoe huyu CEO sas HV ktk kampuni anaharibu image ya kampuni na Ni mropokaji Sana member wa kampuni wanateketea katk lind la umasikini kuliko kulivyo kuwa

Ifanyike namna ya kutumia elimination method
 
Nilisikia neno moja kutoka kwa New CEO siku anapindua baadhi ya mawaziri na kumutaarabu mzee wa Bonge na Yeye kuamua kuachia kazi. Kuna mzee mmoja aliniambia watakaokusumbua ni wenye mashart ya kijani. Hii siku nimekumbuka baada ya story hii.

Picha haihusiani na story hii
 
Kacopy kwa mwamba wa Twita[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji16] unasema??? Ungejua what is happening behind the scene before posting these story na huyo mtu wenu anaye kuja kukopy hapa nakwenda kuwauzia huko telegram usinge sema!

But any ways yesterday night i posted one epsode na leo nimepost nyingine mchana Na baadae ntapost mbili zingine!! Mwambieni achangamke haraka maana tumemaliza mizu guko iliyokuwa mingi kuna mbili zingine nitaziweka hapa na kuanzia weekend hii ntazimwaga sana aje achukue akawauzie [emoji16][emoji38][emoji38][emoji38]

Sent from my CPH1909 using JamiiForums mobile app
 

sawa "cheusi Mangara " hahahaha (utani).... bila shaka baadaye utafika yale maeneo yako..
 
I love you honey!can you do me a favor!!?Tuzae kamoja kauzeeni Basi!!
 
nyboma hapo umedanganya km unamjua mmojawapo wa hao si ungemtaja hata kwa codes
Mzee alikua CEO 19'' na anazidi 95 na ndiye UNKNOWN sasa Tanzanite ni nani?
sasa Tanzanite malizia hapo au tukutafunie tena maana umesema tutumie akili
mzee, a close frind to him!! !So who is mzee and Why mzee is mad at born town??
Who is unknown?? Why is mzee reporting to unknown????
moja ya droo nyingine akaiweka kwenye simu na kuiwasha simu! Akaandika namba flan hivi kisha akapiga! Simu ikwa inaita .....
Unknown: Hellow!
Tanzanite: Tanzanite speaking!
Unknown:Yes tanzanite!
 
Ndugu yoga katika hizo Secret and untraceable Meeting in secret room wewe hua upo wapi lakini. Kwa sterling upo na kwa jambazi mkuu upo.

Sikuwahi kujua kama kuna wanadamu wanasifa ya Omnipresent kama Oxygen
View attachment 2211591
Umenigoogle jamani!! [emoji38][emoji38][emoji38] Situlikubaliana hii nistory lakini au?[emoji16][emoji16][emoji16] Kwani zile muvi za end of the world au tsunami kamera man mbona anakuwaga kilansehem jamani[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Sent from my CPH1909 using JamiiForums mobile app
 
sawa "cheusi Mangara " hahahaha (utani).... bila shaka baadaye utafika yale maeneo yako..
[emoji38][emoji38][emoji38] umejuaje!! Rangi ya chungwa ujue mie na tumacho mrembuo[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji20][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my CPH1909 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…