Dark days 17/03/20...

Mtego
 
Unamset sio ili mumngoe kucha na kumuweka kwenye Acids kama msaidizi wa Mr. News Culture.
 
Kwan huu uzi ni wako? Wee mwenye uelewa mbna hukuleta uzi km huu? Tutolee stress zako za maisha. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sawa, jitahidi uwe serious na sio kila mtu anapenda chatting zenu kwenye mambo serious. Mbona member mwenzenu wa MMU DeePond ametulia tu kule baada ya kuachwa na shemeji yake porini?😁😁😎πŸ₯Ί
 

Does he pose like he is after money? for your information, the person with access to all these could luxuriously feed and take care of you and your siblings for the rest of your lives
 
Kama na wewe upo kwenye intelligence agency basi tuna watu wepesi sana, low IQ.
 
Sawa, jitahidi uwe serious na sio kila mtu anapenda chatting zenu kwenye mambo serious. Mbona member mwenzenu wa MMU DeePond ametulia tu kule baada ya kuachwa na shemeji yake porini?😁😁😎πŸ₯Ί
#MMU siyo magaidi , leo mmewakamata kwenye intelligent forum mnawapa KO . Wamuige Deepond jinsi anavyotoa madini kwenye uzi wa Ukraine Vs Russia humjui kama mzee wa mastori MMU jinsi anavyowanyoosha Pro Nato kwa nondoz za uhakika.
 
Basi hapo unajiona umetumia akili kinoma!
 
Sawa, jitahidi uwe serious na sio kila mtu anapenda chatting zenu kwenye mambo serious. Mbona member mwenzenu wa MMU DeePond ametulia tu kule baada ya kuachwa na shemeji yake porini?[emoji16][emoji16][emoji41][emoji3064]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3] afu mie sijakosea chochote mbna.
 
Hata ningekuwa mimi nisingekubali hata pm ya mtu. once akikubali kuchangiwa amekwisha yoga......... he/ she is smart enough.
 
Wana Lumumba mmeanza majaribu.
Dah kweli wahuni wameanza kumtafuta, tamthilia iko poa mno. Yaani yoga usirogwe kabisa kutoa contact zako, hili jukwaa la anonymous na hakuna haja ya kujulikana. Sisi wenyewe wana Lumumba hatujuani kabisa ila linapokuja suala la maslahi ya chama chetu tunakitetea bila kujali nitapata kitu gani, hata pamoja Dkt Magufuli hayupo lakini lazima tumtetee pale ambapo kuna upotoshaji hata Mama ni same hivyo hivyo we love her ila kutafuta umaarufu kwa kumchafua bosi wake aliyefariki akiwa bado bosi wake inaleta picha mbaya ya yeye kushiriki kumuua ili mafisadi watambe. So Mama anao muda wa kurekebisha in case akiona umuhimu ila humu lazima tuseme ukweli.
 
Kuna jambo haliko sawa hapa. Kwann utake kumpa chochote...??

Kwa kipi hasa.. Mbona km sikuamini ivi... Au ni hisia zangu tu
 
hahaha yaana akutumie number! labda ya wakala wa mji mwingine! akitoa tu nduki
 

"Utu" wewe na nani?
Na hii ni hadithi ya kwanza humu Jamiiforums hadi uombe tumchangie na yeye yupo kimya?
 

Hawakuchelewa kumsaka huko nyuma, kisa simulizi tu hili na majina hajataja ya binadamu tunaowajua.

yoga wikiendi hii tupe hadithi.
 
#MMU siyo magaidi , leo mmewakamata kwenye intelligent forum mnawapa KO . Wamuige Deepond jinsi anavyotoa madini kwenye uzi wa Ukraine Vs Russia humjui kama mzee wa mastori MMU jinsi anavyowanyoosha Pro Nato kwa nondoz za uhakika.
Sidhani kama ana uwezo huo. Msalimie sana maana kwa uandishi wake, unaakisi uwezo wake wa kufikiria na umri wake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…