Vibwengo ni wapi na WASIO vibwengo ni wapi? Na waliopo gizani ni tofauti na vibwengo? fafanua kidogo,hadithi tamu hizi πππππππ
Ndugu Ngarob, neno VIBWENGO na GIZA linatumika vibaya, labda halieleweki maana yake.Kuna kitu watu bado hawajajua...
Huko gizani wapo kwa ajili ya maslai ya vibwengo / raia... Na uhakikisha usalama wa mipaka.. Usalama wa bussiness... Na future ya Kampuni..
Watu waliopo huko gizani hawana shida na Ceo.... Mara chache hutoa ushauri wa mambo flani.. Kisha hukaa kimya....
Kama mnakumbuka late CEO alishawahi kusema kama mara 3 hivi kwamba mi siingiliwa na pia aliwahi kusema wao walipokuwa madarakani hawakuingiliwa.... Akasema niacheni najua ninapoipeleka Kampuni..
Huko gizani hawakurupuki bali wako kirafiki sana... Bado walikuwa wanatuma ushauri wa mambo mbali mbali.... Ila late CEO hasikii.... Na kujaribu kucheza game anavyojua yeye na jinsi atakavyoamka..
Issue ya kule kusini kuhusu business ya koroshoww... ili leta kuyumba sana huko kwa vibwengo wa huko... Vibwengo waliishiwa.. It was a big loss kwa kampuni kulipia that mess..
late ceo alishauriwa sana usipeleke mabaka mabaka huko kuchukua mali za watu.. hakusikia.. ikatokea 600 B loss.. Na koroshoww hazikuuzwa..
Akajua kwa hii security hakuna wa kunigusa...... Bado na mess nyingine nyingi tuu zilitokea... Kuvamia beural...nk nk... Lakini akasema yeye ndiye yeye aongozae njia....
Watu wakaingia kazini... Na matokeo yakabandikwa ubaoni.. Kimya kikatamalaki
Mimi Si KIBWENGO, nakataa, Mimi ni Mwana wa Mungu Alie hai. Maana umechangia hoja ukitumia Jina vibwengo ukimaanisha raia.
Pia GIZA linatumika vibaya. Security personnel working undercover au VIPEPEO'' na taasisi zote ni Kwa Maslah ya nchi, hivyo matendo Yao Si ya Giza. Hata Mungu Mbinguni ana Malaika walinzi.
Matendo Yao yanabadilika na kuwa ya GIZA ikiwa tu yatakiuka HAKI kunufaisha wadhalimu, au kulinda wakubwa waovu.
Giza nilijualo mm ni Ule Ulimwengu wa ROHO unaofanya KAZI chini ya SHETANI mwenyewe kupitia agents wao nlowataja before.
Vita yangu kubwa ni Katika Ulimwengu wa ROHO kuhakikisha mifumo ya utawala ktk Nchi yangu TZ haitokani na SHETANI kupitia agents wake,vibwengo,Illuminati, wachawi,mizimu,mapepo nk.
Hayo madude hutaka Damu kama sadaka, Ajali za moto, matetemeko, kuzamisha meli, treni nk ni KAZI zao.
Watawala wakipata kumiliki kupitia Kwa Mungu alieumba mbingu na Nchi, hapatakuwa na RUSHWA, mauwaji, wizi, fitna, dawa za kulevya nk.
La MUNGU limekuwa, Amen