Dark days 17/03/20...

Vibwengo ni wapi na WASIO vibwengo ni wapi? Na waliopo gizani ni tofauti na vibwengo? fafanua kidogo,hadithi tamu hizi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Ndugu Ngarob, neno VIBWENGO na GIZA linatumika vibaya, labda halieleweki maana yake.

Mimi Si KIBWENGO, nakataa, Mimi ni Mwana wa Mungu Alie hai. Maana umechangia hoja ukitumia Jina vibwengo ukimaanisha raia.

Pia GIZA linatumika vibaya. Security personnel working undercover au VIPEPEO'' na taasisi zote ni Kwa Maslah ya nchi, hivyo matendo Yao Si ya Giza. Hata Mungu Mbinguni ana Malaika walinzi.

Matendo Yao yanabadilika na kuwa ya GIZA ikiwa tu yatakiuka HAKI kunufaisha wadhalimu, au kulinda wakubwa waovu.

Giza nilijualo mm ni Ule Ulimwengu wa ROHO unaofanya KAZI chini ya SHETANI mwenyewe kupitia agents wao nlowataja before.

Vita yangu kubwa ni Katika Ulimwengu wa ROHO kuhakikisha mifumo ya utawala ktk Nchi yangu TZ haitokani na SHETANI kupitia agents wake,vibwengo,Illuminati, wachawi,mizimu,mapepo nk.

Hayo madude hutaka Damu kama sadaka, Ajali za moto, matetemeko, kuzamisha meli, treni nk ni KAZI zao.

Watawala wakipata kumiliki kupitia Kwa Mungu alieumba mbingu na Nchi, hapatakuwa na RUSHWA, mauwaji, wizi, fitna, dawa za kulevya nk.

La MUNGU limekuwa, Amen
 
Sisi sio vibwengo... Ila ni tafsiri tuu..

Ila Giza lipo na huko gizani kuna watu wema pia.... Mungu ameumba nguvu mbalimbali.. Ametengeneza vitu vingi vya kustaajabisha...

Hivi unafikiri huko Gizani Mungu hakujui... Au Hayupo?
Universe ilivyokubwa 90% ni dark matter... Unajua kwanini?

Gizani kuna watu wema kuangalia tu usalama wa mambo... Na sio kutoa sadaka ya maagano...kama unavyofikiri...
Kuna watu inabidi wakae gizani ili kurekebisha mambo maovu... na hawa ni tofauti na wale unaofikiri wanatoa kafara na maagano ya damu nk...

Una habari ma CEO wanazindikwa na kupewa vitu flani vya kiulinzi haswa wakipewa ofisi....? Anyway nisije nikaongea mengine.. Naishia hapa
 
90% ya dark matters unazoongelea zipo ktk Mbingu ya kwanza, ya pili na ya Tatu mwisho, level hiyo ndo wote wa Shetani wanaishia. Hata yule she yahyaha alikuwa akijidai kwenda huko.

Kuanzia MBINGU ya NNE Hadi ya SABA huko ni Kwa Mungu yule ambaye ni juu ya yote, hata Kuzimu wanamtambua.

Kuna mchawi mmoja akiwa Kuzimu aliropokwa akataja Jina YESU, kulitetema. Na alipata adhabu Kali.

ALIYEOKOKA ni raia wa Mbinguni, Hadi mbingu ya 7 anaenda, Shetani hataki kumuona wa aina hiyo akitawala.

Watawala kupewa vitu vya kuwalinda unavyosema havina madhara ni geresha tu, sadaka ya DAMU lazima,

Mungu, na mungu ni tofauti kbs visichanganywe. Amen
 
Ninajaribu kukuelewa hapa. Kwamba mtu mwingine anaweza kujifananisha na kahaba kumbe si kahaba, mwingine anaweza kujifananisha na jambazi akashiriki ujambazi kumbe si jambazi ila tu anataka kuokoa watu wanaosumbuliwa na ujambazi.

Point ya kupewa vitu kama ulinzi kwa MA-CEO inategemea ni nini, iwapo kama ni maagano hata kama siyo ya damu haina maana kumtegemea Mungu maana unakuwa tayari umeshafanya ibada za sanamu.

Mungu hachanganywi.Bora uwe baridi au moto ili usaidiwe lakini kuwa vuguvugu anasema Atakutapika/Atakutema.
 
Unakumbuka kipindi flani kulikuwa na mauaji ya albino..?

Basi kuna watu ilibidi waende mpaka kwa waganga.... Kikipikwa chakula wamo... Leta jogoo.... Chinja onja mpaka damu....

Lengo lilikuwa ni kutafuta chain yote ya wanaohusika...

Waliokuwa wanachunguza walitii masharti ili kupata picha halisi kwanini viungo vya albino vinatafutwa.. na waganga gani wanahusika.... Nk nk
 
Kwa muktadha huo kufanya hivyo ni WAKO KAZINI, kuingia gizani Ili kujua wanafanya nn gizani Kwa malengo ya kuzuia vitendo vya UOVU Si dhambi.

Watumishi wa Mungu wengi Huwa wanahudhuria vikao vya Kuzimu bila Kuzimu kujua Nia ni kuvuruga mipango.

Vikao vya sirini duniani wakaavyo Watawala, watumishi wengi wamehudhuria Nia ni kuwaarifu na kuwakinga wenye HAKI wasidhurike.

Mfano mzuri ni CORONA ilitengenezwa KUZIMU, Nia ni Kuzuia watu wasiabudu. Uchumi wa Dunia uvurugike, ASIWEPO wa kuuza Wala kununua bila Chapa ya mnyama. Watumishi waling'amua mapema wakashauri mamlaka.

Mifumo yote ya ki utawala wa shetani duniani ni COPY na PASTE Kutoka Mbinguni.

Ni Ombi langu Kwa mamlaka lile SHARTI la kuzuia waislamu kutohudhuria HIJA bila kuchanja liondolewe.
Amen
 
Na kampuni nyingi chini ya jua hutawaliwa na nguvu za gizani ktk ulimwengu wao na ndo mwanzo wa uovu mwingi kutokea na wao kujiamini hawez toka kwa kampuni na hutawala wapendavyo huku dhuluma,mauaji,udhalimu wa Kila aina kwa raia ukiongeza chuki dhidi yao lkn mwisho wa yote hawajabaki kuwa salama kwani nguvu wanazotumia ktk ulimwengu wa giza huwageuka na kuwamaliza kwa kuwa Mungu ni Mungu yupo mmoja tu YEHOVA aliye hai wa MBINGUNI na Hadhihakiwi ,kwani Wema na Uovu havichangamani IPO SIKU MUNGU ATAJIBU na si mbali twaanza ona kampuni inavyoanza kuweweseka now
 

Free up your head to understand the concept...

Unafikiri vibwengo wanaweza kuilinda kremlin dhidi ya mikuki kutoka kila kona?..
you must be the old japs to believe this..

uyaonayo kwa macho yako sio yanayoendelea duniani, acha kuwaza nguvu hizo za giza uziwazavyo...

Nyumba yako haina milango?, nyumba yako haina madirisha? bila shaka hata mapazia hamna?....kanisa unaloabudu halina milango wala madirisha na mapazia..

Taifa lako likivamiwa na maharamia basi watu wote tuombe na kufunga halafu maharamia wataangamia au sio....! Amin alivyovamia Taifa lako tungefunga tu na kuomba au sio.....

this is very dip Amigo... dont take it serious...
 
The dark side is there to safeguard you and the land given as the bless from God...

wanalindwa watu wote na imani zao, wakristo, waislam, wahindu, mabohora, wachawi, waganga, wapagani nk.....inside the circumference with the code Tanzanians.... dip down call them vibwengo..
 
you should have dark inside the circumference and dark outside the circumference..... is not easy but winning that, your security will be guaranteed...

God gives us the authority to safeguard our circumference and stay safe in our area vz any incoming threats......its not easy to see the threats, are not comming for your eyes to see.....
 
there is ghost between every kibwengo, most of vibwengo thinking of ugali but indark no one thinking of ugali....thinking of ugali creates gaps for threat, ghosts should fill the gaps and remove the threats.....
 
Kuna watu hatujui yanayoendelea ndani na nje ya kampuni yetu. Tunaona hakuna shida, ingawa kiukweli kuna watu hawalali kuhakikisha sisi tunalala japo katika hali tuliyonayo.
 
all to all Kila mtu na anavyoamini na Imani ndiyo spirit ya yule anaekiamini kile anachokiishi MIMI naamini kwa yeye aliye juu ya yote MUNGU aitwae YEHOVA.

Kwani yeye mmiliki wa vyote, vijazavyo Dunia na akipenda hufanya atakalo hapangiwi liwe zuri au baya kwa yeyote,yoyote na chochote.
 
Mwl Mchonga once said, big white mansion ni Mahali Patakatifu.

Tunashukuru vitengo vinavyolinda kampuni yetu Mungu awabariki, maana hawalali kulinda kampuni.

Tunachopinga ni kusikia mansion hiyo kutumika kufanya fishy bness, yaan sembe inatamalaki mtaani,selling our land to foreigners,stepping upon our kitabu mjengoni, wanarithishana viti Babu Hadi mjukuu, DHULUMA ktk NYUMBA za kutoa HAKI Kwa maskini nk.

Kwann vyombo viwakingie kifua, HAKI Kwa HAKI, kwann wahalifu wako mjengoni while wenye HAKI wako behind bars?

Kwann wakiinuka wenye kutaka kuhakikisha HAKI inasimama wanazamishwa?
 
Ukasikika wimbo wa Taifa Saa 6 ucku.
 
Mkuu nakuelewa vizuri kabisa. Hata Mfalme Daud aliwahi kujifanya taahira mbele ya maadui zake akawapita pasipo kumtambua.

Wazugaji na waigizaji kwa muktadha wa kuwasaidia wengine hawa wana nafasi zao kwa Mungu.
 
Tukiwa deep na Mungu kabla maharamia hayajavamia kuna alerts Mungu atakuwa ameshazitoa kwa watu wa rohoni na kuzileta kwa wahusika.

Kipindi kile cha PK analeta choko choko mbona hawa hawa watu wa rohoni tayari walishajua wakaanza kuomba na kufunga?

Pia Mungu hapigani nje ya mwili wa binadamu anaweza kuepusha mabalaa, vita n.k kwa kuwapa hekima na busara wahusika. So Mungu bado ana nafasi yake kwenye utendaji ndio maana ametupa nguvu na mamlaka za kutawala.
 
Wakuu nimekutana sana hayo maneno katika usomaji wangu wa nyuzi mbalimbali za kijasusi hapa Kwenye kampuni yetu na nimekua nahangaika ku crack hizi code leo nikasema nisife na tai shingoni najua kuuliza ni ujinga acha leo nitoke kwenye huu ujinga japo naweza kupata nuru kwenu wana jamvi wenzangu.

1. vibwengo
2. MUNGU
3. mungu
4. Mungu
5. giza
6. Deep state
7. Saigon
8. Gaberon room 26
9. korido NDEFU ya makumbusho
10. st peters osterbay
11. the clinic
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…