Kuna mambo naona binafsi yanatuchanganya uelewa. Embu tuone kwa muktadha huu kuhusu giza na nuru.
Kwa mujibu wa biblia hapo awali palikua giza na Mungu alikuwepo gizani kwa kusoma mwanzo 1-2. "Hapo mwanzo Mungu aliziumba mbingu na nchi. Nayo nchi ilikua ukiwa tena tupu na giza lilikua kwenye vilindi vya maji, Roho wa Bwana akatulia juu ya maji".
Tukumbuke palikua giza nuru na roho wa Bwana alitulia juu ya maji ambapo ni giza. Sasa tujiulize kama giza ni kwa ajili ya shetani je Roho wa Bwana ndiye shetani? Ukiendelea aya inayofuata ndipo nuru ikaumbwa. There was dark before light.
Hakuna nuru bila giza.
Ni kwa uelewa wangu tu.
Shetani ni mpinzani sio adui, yupo kwa mamlaka ya Mungu. No human being can kill satan, instead you can win him through Holy words.
Mifumo yote ya kiulinzi wa Watawala duniani, Shetani alicopy kutoka kwenye Biblia,
Sababu Yeye ni baba wa Uongo, na Kila hila na baya chini ya jua.
Mamlaka hiyo Iko chini ya Masnryyyyyy.
Kiongozi yeyote Ili kupitishwa lazima wathibitishe,
utaona hata Pesa ilivyo,ALAMA zake na Benki ya dun... na mifumo yote Iko chini ya mnyama anayetenda KAZI Kwa niaba ya shetani.
Ilitokea Rome, yaani Dola ya kipagani ikajibadili na kuwa Dini. Utaona hiyo bendera NYEUSI IPO Kila penye mamlaka kumuwakilisha Pop...
Utaona hata makao makuu ya vyombo vya Usala....nyuma Kuna dini ya Romeee
Utaona Kuna mbadilishano kati ya mru..m...i na Isla..m, bt kiutawala, Rommme ndo anatawala Dunia chini Kwa chini.
Tunakoelekea DINI zote zitaungana itakuwa Moja, Wote watalazimishwa wamwabudu mnyama maana atakuja Kwa KIVULI Cha kuleta Amani na DEMOKRASIA duniani na wote watatii kasoro MTAWALA wa TANZANIA.
Itakuwa ruksa Kutoa mimba, NDOA za jinsia moja, nk..MARUFUKU kusali Kwa Jina la Mungu. Atataka aabudiwe Yeye.
Nimekuwa nikisema, hapa TANZANIA ndo kimbilio la Dunia nzima Kwa watakaopinga Utawala wa mnyama.
TANZANIA, Mungu anatengeneza madhabahu na Utawala Si kiroho pekee, Bali pia katika kuongoza KAMPUNI, na lazima MTAWALA awe Muwakilishi wa Mungu kabisa.
Hayo ni Maandalizi ya Ile vita ya ALMAGEDON, Israel itagawanyika, wasiomwamini Yesu wengi watamkubali MASIH JADAL kwamba ndiye walikuwa wakimngoja maana atatawala Dunia nzima.
Na atakuwa myahudi bt kiti Cha enzi ni Romeee na atawajengea hekalu wayahudi.
Wanaomkubali Yesu huyu tunaemwamini, wote Dunia nzima watakambilia TANZANIA hapa kwenye ardhi unayoikanyaga.
Tunapoekekea KITI Cha U-CEO kwenye kampuni yetu kitakuwa hakikaliki, kitakimbiwa. Mungu ana MATUMIZI na Nchi hii kuwaprotect watu wake dhidi ya utawala wa Mpinga KRISTO.
Kuna wanadhani hayo yatatokea mbaal sana, bt wanatakiwa kujua:
Siku moja Kwa Mungu ni sawa na miaka 1000 ya kibinadamu, na siku 1 Kwa hesabu za Mungu ni sawa na miaka Elfu kibinadamu.
Dunia Kwa sasa imeshafika mwisho sababu miaka 1000 Kwa hesabu ya kibinadamu ilokuwa imebaki, imeshapita miaka 400 na zaidi, hivyo muda wowote tegemea haya Kutokea sababu hata Ile Dini moja imeshasainiwa imebaki utekelezaji tu.
Waovu wazidi kutenda UOVU, na WATAKATIFU wazidi kujitakasa. Amen