Dark days 17/03/20...

Pole mkuu msalimie Dr Kisenge na Dr Shemu hapo JKCI
 
Hawa ndio matapeli wa kanisani wanapiga watu hela zao wanajifanya wametokewa na roho mtakatifu.
 
Unapigania uhai wako huku unachart JF 🤤
 
Kuna tofauti kubwa kati ya DINI na IMANI. Hizo story hazihusiani na DINI.
Nakushauri unapoongelea masuala ya KAMPUNI epuka kuegemea upande Fulani Ili kuepuka bias.
wewe hayakukuta ya Mwendazake ndio maana unambwelambwela na maswala ya peponi km vile ulishatoka Jehanamu kumtembelea the Late CEO.
hakuna Binadamu aliyerudi akatuambia mbingu ipo upande gani katika sayari zetu
 
yaani hili jamaa toka limeweka post zake kweli limetutoa kwenye Mistari bora akachangamshe Jukwaa la Dini kule, mambo ya kununua mafuta na maji kutamfaa ni utapeli mtupi

Rabbon

Lazima mtolewe kwenye mstari sababu ni kuwa:

1.Hadithi mnaichukua kama ni kitu halisi mnaanza taja taja majina ya watu na kuweka picha.

2. Mnaigawa hadithi ktk pande mbili kisiasa, hivyo lazima mvurugwe Hasa.

Mf umemtaja MWENDA..... ametajwa wap kwenye story, ni kama nyani asieona ........
 
wewe nenda Jukwaa la Dini, humu waachie Intelligencia
Toka post ya kwanza codes na trh 17march ni kumbukumbi ya kutoweka Dikteta Mwendazake wa huko Chato alijifanyia Mji Globetrotter km Mobutu
Hapa tunajadili ushenzi wake na maumivu aliyotuachia, Biblia na Manabii ni km kutujazia saver
 
Kwamba na ww ni INTELLIGENT!!

Nachagua kukupuuza, nisije nikafanana nawe.
 
Hivi ni kwa nini wengi mkiwa hamna akili hamjijui?
 
Huyu jamaa ni laana kwa Tanzania
 

Attachments

  • FB_IMG_1657793052530.jpg
    47.1 KB · Views: 145
  • FB_IMG_1657793058451.jpg
    32.7 KB · Views: 144
Shule hamna hapo, kuandika tu hajui.
kumbe Kuna darasa la grammar humu ndani, km hamjui kusoma, codes na shots nendeni Jukwaa la Dini kwanino mnachafua Riwaya ya mwenzenu, hapa tunajadili ujinga wa Mwendazake km Mada inavyotaka Dark days 17 March, mnawekaje maandiko ya vitabu vya Dini?
Fungueni Uzi wenu
 
Kumekuchaaaaaa!!!!
 
Halafu niliwahi kuambiwa hiki kitu

Kwamba ceo wa sita ni mtoto wa nje wa ceo wa pili

Pia huyo deep informer aliwahi kuwa mchepuko wa born town

Vile vile mr diplomatic ni mdogo wa nje wa born town

Hii kampuni ina mambo mengi mno asee
Kwa Mr Diplomatic na born town, iko wazi wamefanana mnooo.
 
Ohooooooo
 
Hiki ndo kikao kilichokuwa Cha mwisho hapa duniani, kwa hao vigogo wawili baada ya kutoka hapo kila mmoja kaanza kuumwa.
 

Attachments

  • VID-20220714-WA0098.mp4
    9 MB
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…