Dark days 17/03/20...

Iyo link iko wapi mzee nikacheck mkuu wangu
 
Anazuia kampuni isije kuangukia kwenye mikono ya lady gaga wa huko akawa remoted na CEO anaemaliza Muda Wake!!

Pia inaonekana P mrefu na freedom zinaiva!Sasa sijui Bt anafaidikaje na Ruto akichukua mikoba ya kampuni!!
Haya mambo haya!!! Ndomana Suleiman Aliomba AKILI, BUSARA na Maarifa kuongoza.

Tuendelee kuomba ajili Yao maana GIZA limetanda, Tuombee pakuche salama.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…